Dogo ni mvurugaji kwelikweli!

Dogo ni mvurugaji kwelikweli!

Kwa sasa Yamal ndo best player worldwide, Mbappe Vinicius jr, Rodrigo, Raphinha, salah,Saka,Jamal musiala, Nicolas wiliam wakae pembeni kwanza
Kama unachosema ni kweli basi dunia imeishiwa wachezaji na vipaji.

Ameshafikia hata robo ya ubora wa Gaucho hapo Barca?
 
Ni nini cha kipekee kuhusu huyu dogo,?? nimeanza kumsikia hivi karibuni
Bado sijaona maajabu kutoka kwake, anafanya vitu ambavyo wengine wanafanya, labda kwavile namlinganisha na wakina Messi ndiomaana namuona wakawaida tu.
 
ana fanya kwa nafasi yake, ila sio world player Kama mnavyo aminishana.

Una mkumbuka ansu fati?, si mpaka barca wali mwekea release clause ya 1b ikawaje?
Ila pia tukumbuke majeraha yalimsababishia kutoka mchezoni mapema na mpaka sasa bado yanamuandama kila mara, anacheza kidogo anajiuguza kwa sana
 
Lamine Yamal ni Ansu Fati aliyechangamka, muda utaamua
 
Mbappe kashaprove ubora kwenye michezo mikubwa mingi sana. Ajitahidi kumaintain ubora.
 
Back
Top Bottom