Dogo muhuni ila he is very smart

Dogo muhuni ila he is very smart

Usimsifie msikitikie watu wa hivyi huwa hawawi na mwisho mzuri unless ashtuke haraka aache
Ndege mjanja hunaswa na tundu bovu.
Mwaka 1972 Arusha kuna jambazi alikuwa anaitwa Mnyori alisumbua sana Arusha
Hata polisi walikuwa wanamuogopa sana.
Aliyekuja kummaliza na kumhamisha duniani na kumpekeka kwa Mungu ni mama mmoja wa kimasai muuza gongo.
Unakumbuka kale kafala kaliitwa Dangote ka Arusha kalikufaje? juzi juzi tu hapa hata miaka miwili bado kupita
Huenda akawa zaidi ya wote haio
 
Kuna dogo mmoja kiukweli ni muhuni ni level za ujambazi kabisa akitoka akirudi anarudi na simu kubwa nyingi kijiweni ni kuziuza tu elfu 50 ila hauzii mtu anaemjua ni wageni tu

Siku moja kijiweni walikuja maaskari wawili kumkamata alichomoa sime na panga akawaambia kama nyie wanaume kweli nifuateni

Hapo ndiyo niliona show zake live ni mtu mwenye mahesabu mengi mno very calculated kwa watu anaojuana nao hafanyagi kabisa ujinga ana shiriki shughuli zote za kijamii
Mnafuga wezi mtaani kwenu halafu unakuja kuwasifia hapa usisahau shetani hana rafiki
 
Dogo hana muda mrefu nakuhakikishia mtamtafuta vituo vyote, alikuwa jamaa katoka south uko aliharibu akarudi bongo akawa anavunja na kuiba ovyo anaenda kuiba na wenzie wanadakwa wanauwawa ye anapona . Siku moja yakatokea mauaji mtaani alafu hakufanya yeye waliouwa walikumbia
Sasa alikuja akafaanya wizi mwingine siku io polisi walikuja kumfuata akachukuwa kisu akawatishia akakimbia zikapita siku akajisahau walikuja polisi na difenda gafla walinkaba roba alitoa macho nusu kukata roho wakambeba msobe wakamtupa kama mzigo kwenye difenda

Wakaenda mpa kesi ya mauaji now kafungwa maisha
 
back days hapo mwanza, kuna muuza mkaa aliibiwa simu, akatoa tangazo jamani nipeni somu yangu, watu waka huna simu yenyewe ilikua imechokaa skrepa haswa, wale wahuni wakazinda kama hawajaiiba, dadeki badae simu ikaanza kuita kwenye tumbo la mshikaji mmoja hilo jambo lili msumbua sanana simu kesha uza sijui buku tano, alivoona hali mbaya inazidi kua kibwa akachikua kisu ili ajichane tumbo aitoe guess what happen, sentensed to death, and rest in hell father fucker,
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom