Dogo muhuni ila he is very smart

Dogo muhuni ila he is very smart

Yakimkuta ya KIna MickyDady kule Mapinga familia zinaanza kulia lia
 
Kiwango chako cha ukilaza kinatia huruma
 
Watu wanatoa mapovu mafisadi wakiiba wako smart kijana akiiba jau
 
Kuna kaka yangu mtoto wa mjomba alikuwa kibaka kama huyo unayemsifia mtaani walichoka siku yake moja akaingia kwenye 18 za wajeda walimchakaza vibaya sana, wakaenda kumtupa karibu na kwao kufika asubuhi alifariki, mtu anayeiba siyo wa kumchekea kabisa maana mwisho wake ni kifo tena kifo cha mateso na fedheha kama unampenda huyo dogo smart mwambie aachane na hizo ishu afanye kazi.
 
Huyo hajakutana na Wazee wa kuvaa Mask, na kwa vile ushamtaja hadi nickname yake basi kwisha habari yake.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom