D2K
Member
- Nov 21, 2010
- 11
- 1
Habari za asubuh wana Jf,kiukweli hizi habari za sensa zimenichosha ila inanibidi tu niulize kutokana na kukosekana kwa ukweli wa mambo kutoka kwa hawa watu waliopewa dhamana ya kusimamia ili zoezi huku ngazi za chini.
Huku kwetu bado ha2jaanza semina na ambayo hapo awali 2liambiwa 2ngeanza leo na badala yake jana wame2bandikia tangazo ku2ambia eti tutaanza j4 tarh 14 na itachukua cku7 kwa kuwa ni ya dodoso fupi, je kuna ukweli wowote hapo kuwa wa2 wa dodoso fupi wanatakiwa kuwapo semina kwa cku7 tu.??
Na lingine ni kuwa huku kwe2 wa2 wote 147 tuliochaguliwa tumeambiwa kuwa wote tumechaguliwa kwa dodoso fupi tu hata kama uliomba kwa dodoso refu,na tulipohoji 7bu tukaambiwa kuwa kata yetu(Mikocheni) ina wa2 wachache hivyo dodoso refu hutumika mahala penye wa2 wengi, je kuna ukweli wowote hapo..???
NAOMBA KUWASILISHA.
Huku kwetu bado ha2jaanza semina na ambayo hapo awali 2liambiwa 2ngeanza leo na badala yake jana wame2bandikia tangazo ku2ambia eti tutaanza j4 tarh 14 na itachukua cku7 kwa kuwa ni ya dodoso fupi, je kuna ukweli wowote hapo kuwa wa2 wa dodoso fupi wanatakiwa kuwapo semina kwa cku7 tu.??
Na lingine ni kuwa huku kwe2 wa2 wote 147 tuliochaguliwa tumeambiwa kuwa wote tumechaguliwa kwa dodoso fupi tu hata kama uliomba kwa dodoso refu,na tulipohoji 7bu tukaambiwa kuwa kata yetu(Mikocheni) ina wa2 wachache hivyo dodoso refu hutumika mahala penye wa2 wengi, je kuna ukweli wowote hapo..???
NAOMBA KUWASILISHA.