Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,618
Mbona kama umepanic? Mkuu hizi ni siasa tu, usipandishe kisukari bure ukawapa shida unaowategemea. Relax, sote ni watanzania.Kesho mtafumuliwa, tume ya Taifa ya Uchaguzi imeishatoa utaratibu wa kuchukua fomu hakuna maandamano.
Asante sana mkuuUsiishi kwa kukariri.
Kukuelimisha - mara mchakato wa uchaguzi ukianza, ofisi zote za Tume ya Uchaguzi hufanya kazi siku zote bila ya kujali ni sikukuu au Jumapili au Jumamosi.
Kaa nalo hilo kichwani ili usiendelee kupotosha. Kama hujui, uliza. Unapoongea kama vile una uhakika, unautumia ujinga wako kuwapotosha watu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Be specific...
Kwani una maana gani kusema awe makini na mwisho;
"....bila kupoteza credibility yake..."??
Ni nini umekiona kwa Tundu Lissu ambacho kinaweza kumpotezea what you call " credibility ?"
Kwa sababu, mimi binafsi ninachokiona kwa watu ni HOFU waliyonayo dhidi ya mtu huyu. Hakuna kitu kingine....
Kama kuna mtu ambaye hana "credibility" ya uongozi si mwingine bali ni mgombea wa CCM, ndg Magufuli....
Anafanya makosa mengi ya wazi kuanzia kuongea kwake, kutenda kwake na hata kupumua.....
Kosa kubwa alilofanya Magufuli ni kukaa kimya baada ya Lissu kushambuliwa kama mwanasiasa alitakiwa atoe tamko hata kinafiki..inaenda kumdondosha mapemaaa
Chanzo cha kupigwa Risasi kinahusiana kwa 100% na umahiri wake na uzalendo wake. Anaachaje kuongelea??Hili lazima aliongelee, lakini ni katika mengineyo.
Hili la mabeberu km ndiyo 'brainwasing' propaganda kwasasa imepitwa na wakati. CCM mkikwama kitu mnasingizia mabeberu, kwani mabeberu wanahusika vipi na sera za majukwaani ambazo ndizo zinasababisha biashara zife na mkwamo wa kiuchumi. 'Any decision you make in life you are responsible for it'. Do not blame others for your failure to solve promblems through your same level of thinkingLissu hawezi kushinda na kamwe hatakuwa rais wa Tanzania labda jua libadili uelekeo,kwa lipi lissu kaifanyia Tanzania na watanzania hadi wampe heshima ya kiongoza nchi yetu?
Lissu ni mtu hatari sana kwa mstakabari wa taifa letu kwani ni selfish person, ni mtu mwenye jazba,hana nidhamu,amejaaa chuki,na anatumika na nchi za magharibi ili kuvuruga mstakari na umoja wa taifa letu,huyu bwana hafai lazima apingwe kwa kila namna .
Harafu mtu anaposema lissu atakuwa rais ni kujidanganya sana,ataongoza serikali ipi ikiwa chama chake hakina uhakika wa kupata japo wabunge watano,hii ni ndoto
Mwambie lissu kuwa amejidanganya na kama anamatumaini ya kuiongoza Tanzania basi kapotea,
Eti mtetezi wa wanyonge,wanyonge wepi hao anaowatetea ?
Lissu hawezi kushinda na kamwe hatakuwa rais wa Tanzania labda jua libadili uelekeo,kwa lipi lissu kaifanyia Tanzania na watanzania hadi wampe heshima ya kiongoza nchi yetu?
Lissu ni mtu hatari sana kwa mstakabari wa taifa letu kwani ni selfish person, ni mtu mwenye jazba,hana nidhamu,amejaaa chuki,na anatumika na nchi za magharibi ili kuvuruga mstakari na umoja wa taifa letu,huyu bwana hafai lazima apingwe kwa kila namna .
Harafu mtu anaposema lissu atakuwa rais ni kujidanganya sana,ataongoza serikali ipi ikiwa chama chake hakina uhakika wa kupata japo wabunge watano,hii ni ndoto
Mwambie lissu kuwa amejidanganya na kama anamatumaini ya kuiongoza Tanzania basi kapotea,
Eti mtetezi wa wanyonge,wanyonge wepi hao anaowatetea ?
KabisaPicha la kutisha.
Tena hiyo propaganda imekufa kifo Cha mendeHili la mabeberu km ndiyo 'brainwasing' propaganda kwasasa imepitwa na wakati. CCM mkikwama kitu mnasingizia mabeberu, kwani mabeberu wanahusika vipi na sera za majukwaani ambazo ndizo zinasababisha biashara zife na mkwamo wa kiuchumi. 'Any decision you make in life you are responsible for it'. Do not blame others for your failure to solve promblems through your same level of thinking
Umenena vema sanaMpaka uchaguzi upite utakuwa umekonda vibaya. Huyo unayempinga ana nyota kali. Kwa pointi hizo wala hummalizi.
Kuwadi wa mama yake mzaziMuozaji..
Maskani yangu ni hapaNenda kazini kama una kazi au uende masikani
Hakuna mtu anayeyeza kuifanyia vitu vizuri nchi bila ya kuwa na mamlaka ya kodi inayokusanywa kutoka kwa wananchi. Tofauti inayolinganishwa huwa ni namna ya kuyapangilia makusanyo ya fedha yaliyopatikana. Au ulitaka Lissu atifanyie nchi vitu vizuri kwa ruzuku ya CHADEMA?... kwa lipi lissu kaifanyia Tanzania na watanzania hadi wampe heshima ya kiongoza nchi yetu?
Maskani yangu ni hapa
Umetoa ushauri mzuri sana mkuu. KongoleAkumbuke tu huo ndo mji ulioweka historia ya uhai wake, ikibidi atembelee eneo la tukio kutoa sadaka na aende hospitaliya mkoa kuwashukuru madaktari na manesi, zaidi ya yote awe MAKINI.
Hajitambui huyoHakuna mtu anayeyeza kuifanyia vitu vizuri nchi bila ya kuwa na mamlaka ya kodi inayokusanywa kutoka kwa wananchi. Tofauti inayolinganishwa huwa ni namna ya kuyapangilia makusanyo ya fedha yaliyopatikana. Au ulitaka Lissu atifanyie nchi vitu vizuri kwa ruzuku ya CHADEMA?
Mkuu na wewe umegeuka msemaji wa ofisi ya Tume?Kesho ni siku ya sikukuu ya nanenane ni mapumziko hakuna kazi, ofisi hazitafunguliwa.
Karibu Sana mkuuNami nitakuwepo kumsindikiza shujaa wetu Tundu Lissu ambaye anategemewa kuapishwa akiwa mkuu wa nchi baadaye mwaka huu