- Thread starter
- #181
Wanafagia njia kwa ujio wa Rais mtarajiwa hapo keshoVyama vinavyotarajiwa kuchukua form leo hii ni SAUTI YA UMMA, UPDP na ADC.
Wanafagia njia kwa ujio wa Rais mtarajiwa hapo keshoVyama vinavyotarajiwa kuchukua form leo hii ni SAUTI YA UMMA, UPDP na ADC.
Haya fanyeni hayo mapokezi yenu sijui kumsindikiza Lissu mnayo andaa uzuri watanzania tumeshaambiwa airuhusiwi kwa sasa na tumeona wote wametii hilo shartiKuna mahali popote Chadema imesema inachokoza mtu?
Hahahaaaa.......!Kesho ni siku ya sikukuu ya nanenane ni mapumziko hakuna kazi, ofisi hazitafunguliwa.
Hivi vyote si vilisema mgombea wao wa Urais ni JPJM?Vyama vinavyotarajiwa kuchukua form leo hii ni SAUTI YA UMMA, UPDP na ADC.
Mkuu mbona kama unateseka?Haya fanyeni hayo mapokezi yenu sijui kumsindikiza Lissubmnayoanda uzuri watanzania tumeshaambiwa airuhusiwi kwa sasa na tumeona wote wametii hilo sharti
Nyie mna ideas tofauti mmeamua kucheza kamali na NEC hope all goes well, hila likitokea lolote mamlaka zipo on the record mnachotaka kufanya akiruhusiwi.
Ulimsikiliza vizuri na ukaelewa?Kwa mjibu wa Lisu Tanzania kuna Corona na watu wanakufa, hivyo sitarajii shamra shamra kama za mwenzake anayeamini Corona imekwisha.
Alienda raisi, makamu, Bashiru na wapambe wachache sana wangeweza peleka kijiji. TBC wakasema airuhusiwi wanatakiwa watu watatu tu muhimu kuingia ofisi za NEC na umati autakiwi.Wewe Jana uliona CCM walienda watu watatu tu? Fear of Unknown
Alienda raisi, makamu, Bashiru na wapambe wachache sana wangeweza peleka kijiji. TBC wakasema airuhusiwi wanatakiwa watu watatu tu muhimu kuingia ofisi za NEC na umati autakiwi.
Kama nilivyosema goodluck.
Ana msongo wa mawazo huyoMkuu mbona kama unateseka?
Ha haaaa sawa mkuuWanafagia njia kwa ujio wa Rais mtarajiwa hapo kesho
Wanafagia njia kwa ujio wa Rais mtarajiwa hapo kesho
Kasikilize TBC wakati raisi anachukua form walivyokuwa wanaelezea kwanini walioingia ndani ofisi za NEC ni watu watatu tu.Imeandikwa wapi?
Mkuu ulipotea sana tupo Kamanda nimerudi kwa MAPAMBANOKama hujui jambo unauliza siyo kujitia mjuaji...
Sasa huoni hapo walizidi watatu kwa ulivyotaja? Kama ni sheria ya watu watatu si waliivunja?Alienda raisi, makamu, Bashiru na wapambe wachache sana wangeweza peleka kijiji. TBC wakasema airuhusiwi wanatakiwa watu watatu tu muhimu kuingia ofisi za NEC na umati autakiwi.
Kama nilivyosema goodluck.
All the best na usindikizaji, hila mamlaka zipo on record.Sasa huoni hapo walizidi watatu kwa ulivyotaja? Kama ni sheria ya watu watatu si waliivunja?
Acha kutapatapa na uongo.Waliingia watu watatu tu?Kasikilize TBC wakati raisi anachukua form walivyokuwa wanaelezea kwanini walioingia ndani ofisi za NEC ni watu watatu tu.
Anyway good morning mnaweza fanya mnavyotaka labda wenzetu mnajua tofauti na tulichotangaziwa jamii na TBC jana.
Kesho ndiyo utajua ni Nini maana ya Nguvu ya umma na kwanini Lissu ni kipenzi Cha WatanzaniaAll the best na usindikizaji, hila mamlaka zipo on record.
Haya, ila kamanda Muroto akifanya yake msipige kelele.Kesho ndiyo utajua ni Nini maana ya Nguvu ya umma na kwanini Lissu ni kipenzi Cha Watanzania