- Thread starter
- #201
Wajaribu waoneHivi kesho si ni siku ya Mapumnziko nanenane ?Au NEC wao hufanya kazi hata siku ya mapumnziko ?Asije akaenda akakuta office zimefungwa.
Wajaribu waoneHivi kesho si ni siku ya Mapumnziko nanenane ?Au NEC wao hufanya kazi hata siku ya mapumnziko ?Asije akaenda akakuta office zimefungwa.
Tunashukuru Sana kwa Taarifa za kinachoendelea huko.Niko hapa dodoma area d naona kila sehemu watu wanapamba na kujiandaa na mapokezi ya kesho
Umenena vema mkuu, kuna watu watu wanafananisha mkuu wa nchi na vitu vya ajabu.Usilinganishe raisi wa nchi na raia wa kawaida. Raisi atazunguka popote kutimiza majukumu yake. Hatuna maraisi wawili nchi hii. Hiyo ndiyo incumbency advantage.
Maoni yenu hayawezi zingatiwa kwakuwa nyinyi hamuusiki kwenye chama cha familia ya Mbowe.Sisi sio chama bali ni washabiki wa Cdm tunaotoa maoni yetu kupitia mitandao ya kijamii. Maoni yetu ni kwa ajili ya kuboresha, iwapo chama kitaona maoni yetu yanafaa watayachukua, na kama tayari wanayo watayaboresha zaidi. Kupewa nchi hatupewi kwa utashi wa ccm, bali kwa maamuzi ya wananchi.
Acha kutesekaKwani fomu wanaenda kuchukua kwa mabavu au wanapewa?
Ila kama hamjachukua Rendez-vous. Nahisi mtakuta office zimefungwa. Kama mliwajulisha before basi hapo hakuna tatizo. Nachelea kusema nyie ndo mnaojua zaidi. Inawezekana labda NEC hufanya kazi 7days/7 no matter what.Wajaribu waone
Unatapatapa mpaka nakuonea hurumaMaoni yenu hayawezi zingatiwa kwakuwa nyinyi hamuusiki kwenye chama cha familia ya Mbowe.
Ndiyo maana yakeIla kama hamjachukua Rendez-vous. Nahisi mtakuta office zimefungwa. Kama mliwajulisha before basi hapo hakuna tatizo. Nachelea kusema nyie ndo mnaojua zaidi. Inawezekana labda NEC hufanya kazi 7days/7 no matter what.
Usiishi kwa kukariri.Kesho ni siku ya sikukuu ya nanenane ni mapumziko hakuna kazi, ofisi hazitafunguliwa.
Mhhhh kweli ni sikukuu ya kitaifa au NEC inafanya kazi siku zote?Kesho ni siku ya sikukuu ya nanenane ni mapumziko hakuna kazi, ofisi hazitafunguliwa.
Huruma mjionee nyinyi wanyanyembe na mgombea wenu mnaokwenda kuchukua form NEC siku ambayo hakuna kazi.Unatapatapa mpaka nakuonea huruma
Umetoa ushauri mzuri. Chadema msifunge macho na masikio kwa maoni ya watu mbali mbali. Yachambueni na chukueni yanayofaa.Huu ni ushauri wangu kwa TL.
Tunataka kuwa na kiongozi mwenye tabia tofauti na jiwe.
Kwa kuongezea suala la yy kushambuliwa isiwe ajenda kabisa tena ikibidi asiliongelee Hilo suala kbsTunashukuru Molemo kwa kuleta hii habari. Kuna uzito fulani kwenye kitengo cha habari cha cdm, kiasi kwamba kuna uzi humu jukwaani unaohimiza kitengo cha habari kuamka. Kuna ushauri pia kuhusu Tundu Lisu jinsi ya kufanya siasa zake bila kupoteza credibility yake. Ni vyema kama chama mkakaa na Lisu na kumfunda. Kuna baadhi ya maneno anaongea yanampotezea haiba yake.
Kwa kuongezea suala la yy kushambuliwa isiwe ajenda kabisa tena ikibidi asiliongelee Hilo suala kbs
Tunashukuru Molemo kwa kuleta hii habari. Kuna uzito fulani kwenye kitengo cha habari cha cdm, kiasi kwamba kuna uzi humu jukwaani unaohimiza kitengo cha habari kuamka. Kuna ushauri pia kuhusu Tundu Lisu jinsi ya kufanya siasa zake bila kupoteza credibility yake. Ni vyema kama chama mkakaa na Lisu na kumfunda. Kuna baadhi ya maneno anaongea yanampotezea haiba yake.
Kesho mtafumuliwa, tume ya Taifa ya Uchaguzi imeishatoa utaratibu wa kuchukua fomu hakuna maandamano.Wewe lala nyumbani kwako wenzio wataenda kuchukua form NEC