Huyo jamaa anadai eti mwilini mwake kuna damu ya wakenya waliomuokoa na kifo. Damu anayoitambua na hospitali anazozitambua ni za Kenya na Ubelgiji tu.Akumbuke tu huo ndo mji ulioweka historia ya uhai wake, ikibidi atembelee eneo la tukio kutoa sadaka na aende hospitaliya mkoa kuwashukuru madaktari na manesi, zaidi ya yote awe MAKINI.
Kwa watanzania anataka Urais tu.