george aloyce
JF-Expert Member
- Aug 22, 2017
- 1,197
- 1,835
- Thread starter
- #241
UnajidanganyaDar kukiwa kugumu huwezi kuishi mji wowote hapa Tanzania.
UnajidanganyaDar kukiwa kugumu huwezi kuishi mji wowote hapa Tanzania.
Ila anaendelea kuitengeneza pongezi kwakeSamia haja itengeneza dodoma kakuta dodoma imeshatengenezwa nA mh.
Ha ha haNilitaka kushangaa uzi mrefu hizi asitajwe mama
Yako au??Nilitaka kushangaa uzi mrefu hizi asitajwe mama
Ng'ong'onaUsisahau kwenda udom na nongona na ujasi kuna msosi bei chee
U.t.i nayo.Asee kutamu lkn hatariPisi kali ukigusa unaondoka na gono safi.
Nyama choma ukijichanganya
Toby tulia kidogo basi.Yako au??
Who.is tobbyToby tulia kidogo basi.
So unadhani unanizidi nini?We upinde nini ? , Unaeandika vizuri umenizidi nini boya wewe pita vile acha shobo kwa wanaume utaliwa bure
Ndicho ulichokiona weweUko Dodoma kibiashara, umepeleka biashara gani? Maana ulivyoandika uzi nikajua utatoa tip za fursa badala yake promo za uzinzi tu.
HujitambuiSo unadhani unanizidi nini?
Hahahaha!
Ni noma juzi nimeibua wawili nikaenda kulala nao Kila mmoja nilimpa 3k Hadi asubui watoto wa CBEPale rain bow Kuna pis Kali Huwa zinaingia kutegesha wanaume
Sent from my Infinix X6819 using JamiiForums mobile app
Kule nyama choma unaonjeshwa Kila jiko Hadi unayoipenda unanunua kuanzia 3000Ng'ong'ona
Ukiogopa hio huwezi kuteleza hata mkeo anaweza kuugua ,mwanaume rijali huwezi ogopa ugonjwa wenye dawaU.t.i nayo.Asee kutamu lkn hatari
Tatizo mnapenda wanaume masharobaro , tafuta mgumu ili uhudumiweNafuu wale wanawake wanaochuna sio sisi tunapata wanataka kukuçhuna