Dodoma ni kutamu jamani

Dodoma ni kutamu jamani

Huo ushamba wakukimbilia na kuona Dar ndio kila kitu umepitwa na muda nmewahi kuishi Dar miaka 2 na hapajanitoa ushamba ety nione ni bonge la mji ,I feel safe in Dodoma.
Wakuu sawa dodoma panachangamka ila dar ni habari nyingine, hata mama samia ikulu ipo dodoma ila kila siku yupo dar es salaam, wazee yan mnaibeza dar es salaam kweli ? Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Tanzania kwa ukubwa wake mkoa tunaoutegemea kuliko wote ni dar na huwez kuibeza kwa lolote lile, dar ni mwisho wa matatizo wazee hata kama hampapend tuseme ukweli tu, nna ndugu yangu mserikali juz kanunua kiwanja mbweni M200 dar bado panasoko, panaongoza population, kibiashara na mambo mengi huwez fananisha na mikoa mingine, pamoja na joto lote hili lakini kila siku population inaongezea je pangekuwa na weather kama ya Arusha au Mbeya si ingekuwa balaa…ukweli usemwe jaman
 
Wakuu sawa dodoma panachangamka ila dar ni habari nyingine, hata mama samia ikulu ipo dodoma ila kila siku yupo dar es salaam, wazee yan mnaibeza dar es salaam kweli ? Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Tanzania kwa ukubwa wake mkoa tunaoutegemea kuliko wote ni dar na huwez kuibeza kwa lolote lile, dar ni mwisho wa matatizo wazee hata kama hampapend tuseme ukweli tu, nna ndugu yangu mserikali juz kanunua kiwanja mbweni M200 dar bado panasoko, panaongoza population, kibiashara na mambo mengi huwez fananisha na mikoa mingine, pamoja na joto lote hili lakini kila siku population inaongezea je pangekuwa na weather kama ya Arusha au Mbeya si ingekuwa balaa…ukweli usemwe jaman
Hakuna alieibeza dar , mimi mwenyewe pamoja na kutoa mada hiii lakini Nina nyumba tatu dar , na bado nakuja sana tu
 
Wakuu sawa dodoma panachangamka ila dar ni habari nyingine, hata mama samia ikulu ipo dodoma ila kila siku yupo dar es salaam, wazee yan mnaibeza dar es salaam kweli ? Mnyonge mnyongeni ila haki yake mpeni, Tanzania kwa ukubwa wake mkoa tunaoutegemea kuliko wote ni dar na huwez kuibeza kwa lolote lile, dar ni mwisho wa matatizo wazee hata kama hampapend tuseme ukweli tu, nna ndugu yangu mserikali juz kanunua kiwanja mbweni M200 dar bado panasoko, panaongoza population, kibiashara na mambo mengi huwez fananisha na mikoa mingine, pamoja na joto lote hili lakini kila siku population inaongezea je pangekuwa na weather kama ya Arusha au Mbeya si ingekuwa balaa…ukweli usemwe jaman
Ukuaji wa Dodoma na hata mikoa mingne haimaanishi Dar ndio itasimama hapana, Dar itaendelea kuwa Dar kama kawaida, ila kuna hali flan sshv huku mikoani hata ukienda Dar na ukarud hauoni tofaut kama Ulvokuwa zaman.
 
Vumbi na Jua Kali
Hakuna maji mfano hapa Chaduru ninapokaa
Hakuna vishoka wa maana
Kila Ijumaa kuanzia saa 6 mchana mabasi ya kwenda DAR yanajaa...watumishi wanageuka madenti..Jpili Kwa magufuli wanarudi shingo upande
Bar zote mnakutana wateja wale wale
V8 Ijumaa zinatoka ,mbio kwenda Dar
Bado wafanyabiashara wakubwa hawataki kuhamishia investment zao Dom---
Anyway Hongera Serikali mnajitahidi
 
Habari zenu WanaJF mko poa kabisa,

Bila kuchelewa niende kwenye mada ya leo,

Niko Dodoma kibiashara nilichojione kinaleta raha Fulani hivi, aisee Dodoma kutamu jamani.

Nilianza na upande wa biashara kuko vizuri sana pamechangamka mno pia Kuna fulsa zaidi ya 1000

Pili wenyeji wa huku ni watu wakarimu sana pia ushirikina upo kwa asilimia 5 tu hasaa Hawa warangi na wachaga ndio watundu mno wa ushilikina hapa jijini.

Dodoma hakuna chuma ulete, Dodoma hakuna ujambazi nilishawai fanya biashara pale tegeta nyuki Dar aisee waha pale ni chuma ulete wa kutisha utadhani wote mganga wao mmoja ila kwa dodoma hio hakuna

Jambo linguine nililopendea dodoma bei zao za vitu kwa Sasa hazitofautiani na dar , kwa mfano TV nchi 32 huku ni laki mbili na kumi, vyakula bei ni nzuri, hotel bei ni nzur unapewa na pisi Kali za bule ukibisha njoo bobo nikuelekeze

Pia bar za dodoma ni full vibe aiseee Kila siku ni Bata tu
Changamoto ni ndogo zaidi kwa mfano vumbi na jua Kali mchana ila ikifika usiku nyuzi joto hufika 13 tu Hadi 10 yaani panakua na baridi kalii

Pia kwa upande wa mambo yetu yaleeee pisi kaliii zimejaa watoto wa kimbulu watoto wa kateshii manyara na warangi pia Kuna wasukuma wahaya Kila aina za pisi zimetoka Arusha dar wamejazana mno Dodoma, pia pale mjini Pana vyuo zaidi ya 20 aiseee dodoma imependelewa vyuo ni vingiii mno.

Kuna siku nilikua MAENEO ya general pale watoto wa chuo ni wakali visuu vinashindia mihogo kubana pesa ya bum

Kwa hio ukiwa dodoma kitendo Cha kutaka pisi ya kuitafuna ni kitendo cha dkk chache tu Tena sio wa kujiuza huku pisi za kutosha

Upande wa majengo malefu yanayojengwa ni hataki, huku midude inajengwa kila kukicha

Pia Kuna arena inajengwa kimyakimya aisee huku mama Samia kaamua kuitemgeneza dodoma pongezi kwake ni hayo tu.

Karibuni dodoma kalibuni muone uzuri wa Jiji wenye chuki mjinyonge
Watoto wa watu hao tafadhari usije sema sikukwambia
 
Habari zenu WanaJF mko poa kabisa,

Bila kuchelewa niende kwenye mada ya leo,

Niko Dodoma kibiashara nilichojione kinaleta raha Fulani hivi, aisee Dodoma kutamu jamani.

Nilianza na upande wa biashara kuko vizuri sana pamechangamka mno pia Kuna fulsa zaidi ya 1000

Pili wenyeji wa huku ni watu wakarimu sana pia ushirikina upo kwa asilimia 5 tu hasaa Hawa warangi na wachaga ndio watundu mno wa ushilikina hapa jijini.

Dodoma hakuna chuma ulete, Dodoma hakuna ujambazi nilishawai fanya biashara pale tegeta nyuki Dar aisee waha pale ni chuma ulete wa kutisha utadhani wote mganga wao mmoja ila kwa dodoma hio hakuna

Jambo linguine nililopendea dodoma bei zao za vitu kwa Sasa hazitofautiani na dar , kwa mfano TV nchi 32 huku ni laki mbili na kumi, vyakula bei ni nzuri, hotel bei ni nzur unapewa na pisi Kali za bule ukibisha njoo bobo nikuelekeze

Pia bar za dodoma ni full vibe aiseee Kila siku ni Bata tu
Changamoto ni ndogo zaidi kwa mfano vumbi na jua Kali mchana ila ikifika usiku nyuzi joto hufika 13 tu Hadi 10 yaani panakua na baridi kalii

Pia kwa upande wa mambo yetu yaleeee pisi kaliii zimejaa watoto wa kimbulu watoto wa kateshii manyara na warangi pia Kuna wasukuma wahaya Kila aina za pisi zimetoka Arusha dar wamejazana mno Dodoma, pia pale mjini Pana vyuo zaidi ya 20 aiseee dodoma imependelewa vyuo ni vingiii mno.

Kuna siku nilikua MAENEO ya general pale watoto wa chuo ni wakali visuu vinashindia mihogo kubana pesa ya bum

Kwa hio ukiwa dodoma kitendo Cha kutaka pisi ya kuitafuna ni kitendo cha dkk chache tu Tena sio wa kujiuza huku pisi za kutosha

Upande wa majengo malefu yanayojengwa ni hataki, huku midude inajengwa kila kukicha

Pia Kuna arena inajengwa kimyakimya aisee huku mama Samia kaamua kuitemgeneza dodoma pongezi kwake ni hayo tu.

Karibuni dodoma kalibuni muone uzuri wa Jiji wenye chuki mjinyonge
Mkuu wapi hapo ambako ukichukua room unapewa demu wa bure?
 
Ndio maana nasema washamba ndio wanaona dar wamefika kama wewe , Sasa kumbe waliopo mikoani na ambao hawaishi dar unaona maisha maisha yamewashinda , sikia siwezi sema mengi dar mimi Nina mijengo yg mitatu mmoja salasala madukani nyingine ipo hapo jirani goba center pale lound about ya kwenda mlimani city upande wa kushoto jirani na msikiti uliza kwa Mzee msuri ni mrangi huyo Mzee ambae ni mjumbe hupo ni jirani yg pia nyingine ipo goms nyuma ya michongomani ni hatua kumi na Tano kufika stand ya goms , Sasa we wa kuja utaniambia nini
Unaweza kuwa umejenga nyumba tatu Dar na bado ukawa mshamba wa kuishi Dar ndo maana pakakushinda Mjini panahitaji wajanja Yaani ushindwe enjoy Dar town uka enjoy porini na mifugo kweli??????
 
Unaweza kuwa umejenga nyumba tatu Dar na bado ukawa mshamba wa kuishi Dar ndo maana pakakushinda Mjini panahitaji wajanja Yaani ushindwe enjoy Dar town uka enjoy porini na mifugo kweli??????
Hv hyo Dar ndio yakusimangia watu namna hii😅 kama ni ushamba mbona ninyi watu wa Dar ndio wakuu wetu bana 😅 ni washamba sjipata kuona akiii.

Moreover; Ni kwann mgen kutoka mbele akja huko Dar anasema Tz n washamba!? Tz inanuka !? It's bcos of yuh guys, kwa jna lingne nyie ni WASHAMBA MLIOCHANGAMKA.
 
Hv hyo Dar ndio yakusimangia watu namna hii kama ni ushamba mbona ninyi watu wa Dar ndio wakuu wetu bana ni washamba sjipata kuona akiii.

Moreover; Ni kwann mgen kutoka mbele akja huko Dar anasema Tz n washamba!? Tz inanuka !? It's bcos of yuh guys, kwa jna lingne nyie ni WASHAMBA MLIOCHANGAMKA.
Mtu wa hivi ni WA kuja ukute anakaa vikindu
 
Unaweza kuwa umejenga nyumba tatu Dar na bado ukawa mshamba wa kuishi Dar ndo maana pakakushinda Mjini panahitaji wajanja Yaani ushindwe enjoy Dar town uka enjoy porini na mifugo kweli??????
We ni boya kweli aliekwambia kashindwa maisha ni nani mjanja anatafuta kokote ,tatizo huna akili ukiona mtu kaenda sehemu nyingine kupambana unamuona kashindwa , ndio nyie mliojazana kwenye nyumba za urithi tandare
 
Ila kuna miji hata wakiniambia nikaishi kwa mkopo siwezi,,, Dodoma, Sumbawanga, Kigoma Lindi, Mtwara na ruvuma kuishi hiyo mikoa mtanisamehe
Endelea kukomaa vingunguti ,sisi wa mkoani tukija huko tuwagongee wake zenu tuwape pesa za vikoba marejesho
 
Back
Top Bottom