We ndo wakujaWakazi wa Dar tuna kikao. Hawa wageni wanakuja wanatutukana. Muishie Kibaha sasa.
KabisaAshukuriwe Magufuli
Nipe link mkuuNjoo nikupe link telegram pisi za chuo CBE udom Hadi utakimbia
Dodoma kwa sasa ni kuzuri mimi nimehamia nina kama mwezi nimehamia kikazi, fursa zipo nyingi tu ukituliza kichwa na ukiacha pupa, watu ni wakarimu sana, changamoto ya dodoma ni maji na kodi za nyumba, mfano maeneo yaliyochangamka sana kama makulu, chidachi, ilazo, na mengine mengi nyumba hugusi, ziko juu sana kuanzia 300k per month, alafu kinachoboa zaidi ni terms of payment, lazima ulipie kuanzia miezi 6+ hili ndo tatizo nimeliona dodoma, lakini kwa issues zingine za maisha pako poa, vyakula bei ni moderate tu kama mikoa mingine, mfano, kilo ya mchele saiv ina 2400/= mahindi debe saiv nni 15000/= n.kTunakuja kutia kambi vipi kodi ya nyumba
😆😆Hali ya hewa sio kigezo cha kupima ubora wa mji...Ingekua Hali ya hewa ndio uzuri wa mji basi Makete,Mafinga,Lushoto,Njombe yangeshakua majiji zamani sanaIngekuwa inapendeza kama kila nyumba Dodoma ipande miti isiyopungua kumi kulingana na ukubwa wa eneo na kila aliye na jengo la biashara kando ya bara bara bas apande miti kando ya barabara hii ingebadili kabisa hali ya hewa ya Dodoma.
Hujamuelewa jamaa, ameongea point ya msingi sana. Dodoma kuna upepo na vumbi jingi mno, kwa kupanda miti pataifanya kuwa sehemu bora zaidi kimiundombinu, hali ya hewa na mandhari.😆😆Hali ya hewa sio kigezo cha kupima ubora wa mji...Ingekua Hali ya hewa ndio uzuri wa mji basi Makete,Mafinga,Lushoto,Njombe yangeshakua majiji zamani sana
Dodoma ndio jiji linaloongoza Tanzania kwa kuwa na mtandao mpana wa barabara za lami ....Serikali inawapendelea sana ukienda City Centre barabara za vumbi ni za kuhesabu. Alafu pia kwa Tanzania hii nimeona Dodoma tu ndio ambapo barabara zake zimepandwa Miti kwa wingi tena kwa mpangilio maalumu pembeni mwa barabara mfano Morogoro Road,Arusha Road,Udom Road,Nkuhungu Road,VETA Road n.kHujamuelewa jamaa, ameongea point ya msingi sana. Dodoma kuna upepo na vumbi jingi mno, kwa kupanda miti pataifanya kuwa sehemu bora zaidi kimiundombinu, hali ya hewa na mandhari.
Kweli kabisa mkuuDodoma ndio jiji linaloongoza Tanzania kwa kuwa na mtandao mpana wa barabara za lami ....Serikali inawapendelea sana ukienda City Centre barabara za vumbi ni za kuhesabu. Alafu pia kwa Tanzania hii nimeona Dodoma tu ndio ambapo barabara zake zimepandwa Miti kwa wingi tena kwa mpangilio maalumu pembeni mwa barabara mfano Morogoro Road,Arusha Road,Udom Road,Nkuhungu Road,VETA Road n.k
Miti inaendelea kupandwaHujamuelewa jamaa, ameongea point ya msingi sana. Dodoma kuna upepo na vumbi jingi mno, kwa kupanda miti pataifanya kuwa sehemu bora zaidi kimiundombinu, hali ya hewa na mandhari.
Kalibu uchangamkie fulsa mkuuDodoma fursa kubwa ninayo iona ni kama ukianzisha hardware ya kisasa utauza sana maana kila kona ujenzi unafanyika vifaa vya umeme pia vinauzika sana![]()
Unakuja kupanga huku mkonze mji mpya , nyumba Hadi za 100000Dodoma kwa sasa ni kuzuri mimi nimehamia nina kama mwezi nimehamia kikazi, fursa zipo nyingi tu ukituliza kichwa na ukiacha pupa, watu ni wakarimu sana, changamoto ya dodoma ni maji na kodi za nyumba, mfano maeneo yaliyochangamka sana kama makulu, chidachi, ilazo, na mengine mengi nyumba hugusi, ziko juu sana kuanzia 300k per month, alafu kinachoboa zaidi ni terms of payment, lazima ulipie kuanzia miezi 6+ hili ndo tatizo nimeliona dodoma, lakini kwa issues zingine za maisha pako poa, vyakula bei ni moderate tu kama mikoa mingine, mfano, kilo ya mchele saiv ina 2400/= mahindi debe saiv nni 15000/= n.k
Kalibu ule watoto wa kimbulunimshika watoto wa kmbulu na kateshi tuu haahaa najua mwenyewe fursa juu ya fursa.
Kaishi mbeya kama vipIngekuwa inapendeza kama kila nyumba Dodoma ipande miti isiyopungua kumi kulingana na ukubwa wa eneo na kila aliye na jengo la biashara kando ya bara bara bas apande miti kando ya barabara hii ingebadili kabisa hali ya hewa ya Dodoma.
asante mkuu nakuja soon.Kalibu ule watoto wa kimbulu
Nipe connection nduguUnakuja kupanga huku mkonze mji mpya , nyumba Hadi za 100000
Na wake zao tunawakaza huku week nzima. Weekend wakija wanachovya kidogo wanasepa. Jumatatu tu babe anakuchek.Dodoma ikifika ijumaa watumishi wengi wanakuwa kama vile wanafunzi wanavyoshangilia likizo ya mid term!! watu full shangwe na mabasi yanajaa yote. Utakuja kuwaona dar siku ya jumapili wanvyorudi Dom kinyonge.