Dodoma ni kutamu jamani

Dodoma ni kutamu jamani

Mbu walioning'ata raibow na royal wafanye jambo, wapige fumigation otherwise dom pako mukide
 
Habari zenu WanaJF mko poa kabisa,

Bila kuchelewa niende kwenye mada ya leo,

Niko Dodoma kibiashara nilichojione kinaleta raha Fulani hivi, aisee Dodoma kutamu jamani.

Nilianza na upande wa biashara kuko vizuri sana pamechangamka mno pia Kuna fulsa zaidi ya 1000

Pili wenyeji wa huku ni watu wakarimu sana pia ushirikina upo kwa asilimia 5 tu hasaa Hawa warangi na wachaga ndio watundu mno wa ushilikina hapa jijini.

Dodoma hakuna chuma ulete, Dodoma hakuna ujambazi nilishawai fanya biashara pale tegeta nyuki Dar aisee waha pale ni chuma ulete wa kutisha utadhani wote mganga wao mmoja ila kwa dodoma hio hakuna

Jambo linguine nililopendea dodoma bei zao za vitu kwa Sasa hazitofautiani na dar , kwa mfano TV nchi 32 huku ni laki mbili na kumi, vyakula bei ni nzuri, hotel bei ni nzur unapewa na pisi Kali za bule ukibisha njoo bobo nikuelekeze

Pia bar za dodoma ni full vibe aiseee Kila siku ni Bata tu
Changamoto ni ndogo zaidi kwa mfano vumbi na jua Kali mchana ila ikifika usiku nyuzi joto hufika 13 tu Hadi 10 yaani panakua na baridi kalii

Pia kwa upande wa mambo yetu yaleeee pisi kaliii zimejaa watoto wa kimbulu watoto wa kateshii manyara na warangi pia Kuna wasukuma wahaya Kila aina za pisi zimetoka Arusha dar wamejazana mno Dodoma, pia pale mjini Pana vyuo zaidi ya 20 aiseee dodoma imependelewa vyuo ni vingiii mno.

Kuna siku nilikua MAENEO ya general pale watoto wa chuo ni wakali visuu vinashindia mihogo kubana pesa ya bum

Kwa hio ukiwa dodoma kitendo Cha kutaka pisi ya kuitafuna ni kitendo cha dkk chache tu Tena sio wa kujiuza huku pisi za kutosha

Upande wa majengo malefu yanayojengwa ni hataki, huku midude inajengwa kila kukicha

Pia Kuna arena inajengwa kimyakimya aisee huku mama Samia kaamua kuitemgeneza dodoma pongezi kwake ni hayo tu.

Karibuni dodoma kalibuni muone uzuri wa Jiji wenye chuki mjinyonge
kwanza, kwasasa kuna watu wamechanganyana sana, hivyo hujakutana na wenyeji, ni makabila tofauti. hapa hawaishi wagogo tu.

pili, biashara Dom ni nzuri sana, kuna fursa.

kwa habari ya chuma ulete, inategemeana upo wapi, nakushauri tu okoka ili Mungu akulinde, kuna warangi wamejaa pale hizo chuma ulete, Mungu tu ndio kimbilio. ila hata wakiiba namna gani, watabakisha kwasababu biashara dom inalipa. kama umeokoka na unatoa fungu la kumi ndio dawa hakuna atakayepiga chumaulete ikakubali.

kwa habari ya majengo na uzuri wa mji, hakuna sehemu kuna ujenzi bora kama dodoma kwa sasa, pamepangwa, nyumba nyingi mpya, paa zinafanana rangi kwani kila eneo limepangiwa rangi yake, na nyumba nyingi ni bora, hakuna za wachovu. nenda ilazo na maeneo mengine utajua hili. na wakimaliza ule mji wa magufuli, itakuwa jiji kubwa kuliko hata windhook ya Namibia.

bei za vitu vyote dodoma ni gharama kuliko dsm na mikoa mingine, dom watu hawajazoea kubembeleza mteja, labda ukute mchaga na mkinga, na hawapendi kupunguza sana bei, unaweza kwenda duka lingine kama vipi.
 
Hiyo sio 5 Star acha kudanganywa. Hamna 5 Star Hotel Dodoma labda wa-upgrade napo itachukua muda, maana hii ilikuaga 3 Star labda wapande hadi 4
 

Attachments

  • 20230721_120950.jpg
    20230721_120950.jpg
    878.8 KB · Views: 26
Dodoma nilitokaga ila nimerudi mwaka jana pamekua sana.
Mimi kama mimi sikutoka kwa mazuri hivo sina mood ya kuishi tena pale.
Mkoa fulani unamizizi ya kutokea fasta kwa anayetaka pesa aende dodoma.....afu pia kuna sehemu za kutumia pesa unayo itafuta tofauti na arusha hujui pesa utaila vipi ufurahi.
Kama una elfu 30 hapo mfukoni mwanamke ni huduma ya mpesa unapata fasta.....wa kulala mpaka asubuhi.....elfu 30 yako inaenda kihalali.....kuhusu kuumwa UTI au gono ndio penyewe hata kama ni pisi kali....

Dodoma Enzi nipo mpaka nasepa Maisha club, club 84, royal village, rainbow, malaika lounge, platnum annex, rose garden, nk ilishafungwa.......hotel nashera na morena zilikuwepo.

Bar ni nyingi kama kule fourways nkuhungu, ngongona udom, kito mlezi, n.k
Kuogelea ilikuwa st.gasper.

Ila kwa sasa sipo wala sipataki dom wana wananiita ila sitaki.
 
Soma hiyo
Hiyo ni mbwembwe za matangazo. 5 Star Hotel wala huhitaji hata bango maana inajitangaza yenyewe na reservations ni online sio kwa kupiga debe kwa bango. Angalia online ndio haidanganyi.
Wamejitahidi kumbe wako 4 Star. Ila hata 4 Star ratings zinautofauti sana
Screenshot_20240403-185404.jpg
 
Hiyo ni mbwembwe za matangazo. 5 Star Hotel wala huhitaji hata bango maana inajitangaza yenyewe na reservations ni online sio kwa kupiga debe kwa bango. Angalia online ndio haidanganyi.
Wamejitahidi kumbe wako 4 Star. Ila hata 4 Star ratings zinautofauti sana
View attachment 2953193
Hio ni five
 
Dodoma nilitokaga ila nimerudi mwaka jana pamekua sana.
Mimi kama mimi sikutoka kwa mazuri hivo sina mood ya kuishi tena pale.
Mkoa fulani unamizizi ya kutokea fasta kwa anayetaka pesa aende dodoma.....afu pia kuna sehemu za kutumia pesa unayo itafuta tofauti na arusha hujui pesa utaila vipi ufurahi.
Kama una elfu 30 hapo mfukoni mwanamke ni huduma ya mpesa unapata fasta.....wa kulala mpaka asubuhi.....elfu 30 yako inaenda kihalali.....kuhusu kuumwa UTI au gono ndio penyewe hata kama ni pisi kali....

Dodoma Enzi nipo mpaka nasepa Maisha club, club 84, royal village, rainbow, malaika lounge, platnum annex, rose garden, nk ilishafungwa.......hotel nashera na morena zilikuwepo.

Bar ni nyingi kama kule fourways nkuhungu, ngongona udom, kito mlezi, n.k
Kuogelea ilikuwa st.gasper.

Ila kwa sasa sipo wala sipataki dom wana wananiita ila sitaki.
We umeondoka kwa matukio huku unaonesha sio raia mwema ,ulimweka mwanafunzi mimba
 
Hiyo ni mbwembwe za matangazo. 5 Star Hotel wala huhitaji hata bango maana inajitangaza yenyewe na reservations ni online sio kwa kupiga debe kwa bango. Angalia online ndio haidanganyi.
Wamejitahidi kumbe wako 4 Star. Ila hata 4 Star ratings zinautofauti sana
View attachment 2953193
Unabisha picha imeandikwa "enjoy 5 star experience" wewe unagoogle😆😆 kusoma hujui hata picha huoni
 
kwanza, kwasasa kuna watu wamechanganyana sana, hivyo hujakutana na wenyeji, ni makabila tofauti. hapa hawaishi wagogo tu.

pili, biashara Dom ni nzuri sana, kuna fursa.

kwa habari ya chuma ulete, inategemeana upo wapi, nakushauri tu okoka ili Mungu akulinde, kuna warangi wamejaa pale hizo chuma ulete, Mungu tu ndio kimbilio. ila hata wakiiba namna gani, watabakisha kwasababu biashara dom inalipa. kama umeokoka na unatoa fungu la kumi ndio dawa hakuna atakayepiga chumaulete ikakubali.

kwa habari ya majengo na uzuri wa mji, hakuna sehemu kuna ujenzi bora kama dodoma kwa sasa, pamepangwa, nyumba nyingi mpya, paa zinafanana rangi kwani kila eneo limepangiwa rangi yake, na nyumba nyingi ni bora, hakuna za wachovu. nenda ilazo na maeneo mengine utajua hili. na wakimaliza ule mji wa magufuli, itakuwa jiji kubwa kuliko hata windhook ya Namibia.

bei za vitu vyote dodoma ni gharama kuliko dsm na mikoa mingine, dom watu hawajazoea kubembeleza mteja, labda ukute mchaga na mkinga, na hawapendi kupunguza sana bei, unaweza kwenda duka lingine kama vipi.
Asante sana Kwa kujazia nyama aisee
 
Back
Top Bottom