Dodoma ni kutamu jamani

Dodoma ni kutamu jamani

SIPAPENDI........kisasa,nkuhungu,bahi road,Area c,Area D,Nala,mlezi,jamatini,ndio pakusifiwa hivi?mbona ukame sijauona ukiusifia?
Nenda Dubai ukakutane na ukame , tatizo mna Kali maisha , je unajua ukame wa dodoma ni asilimia ngap , na umesababishwa na nini, endelea kuishi dar kwa mfuga mbwa ,au kwa mama kibonge
 
Ndio ujinga wa vijana wa mikoani, mnaponda Dar huku unafahamu bila kuitaja Dar unaonekana mshamba.
Wewe ndio wa mkoani , mimi nimezaliwa dar na nimesoma dar Hadi maisha yg kiujumla Mali zg nyingi ziko dar, ila kwa Sasa Niko Dom kibiashara taklibani mwaka mmoja , nilichokutana nacho ni tofauti na machoko wale wanaokaaga kuiponda dodoma , nimekuta Pako vizur fulsa ni nyingi , pesa nje nje
 
Mimi kuna kitu cha tofauti nilikiona Dodoma kuliko Dar! Ukienda maeneo mengi ya Dodoma mjini, watu wengi karibu 99% ni wasafi wamevalia nguo nadhifu zilizofuliwa na kuwakaa vizuri alafu wote wana afya njema. Ni nadra kuona "choka mbaya mbavu nje" ukiwa maeneo ya Dodoma mjini tofauti na Dar. Dar popote uendapo utakutana na wachafu na waliokonda mpaka inakatisha tamaa! Unajua pamoja na hali ngumu ya maisha, hakuna mtu anafurahia kuona/kukaa/kukutana/kuzungumza na mtu mchafu na aliyekondakonda mbavu nje (hiyo ni asili). Mtu hata kama ni muovu lakini akionekana nadhifu na ana siha njema uvutia kuongea naye na kujiona hadhi yako imepanda ukiwa karibu naye! Sijui uongozi wa manispaa ya Dodoma hukataza ambao hawajaoga na kuvaa vizuri na waliokondakonda kuonekana mjini hama vipi? Sikuwahi kwenda viunga vya ndani ndani ya Dodoma kuona hali ikoje!
Wakazi wa Dar tuna kikao. Hawa wageni wanakuja wanatutukana. Muishie Kibaha sasa.
 
Dodoma ikifika ijumaa watumishi wengi wanakuwa kama vile wanafunzi wanavyoshangilia likizo ya mid term!! watu full shangwe na mabasi yanajaa yote. Utakuja kuwaona dar siku ya jumapili wanvyorudi Dom kinyonge.
Family
 
Mimi kuna kitu cha tofauti nilikiona Dodoma kuliko Dar! Ukienda maeneo mengi ya Dodoma mjini, watu wengi karibu 99% ni wasafi wamevalia nguo nadhifu zilizofuliwa na kuwakaa vizuri alafu wote wana afya njema. Ni nadra kuona "choka mbaya mbavu nje" ukiwa maeneo ya Dodoma mjini tofauti na Dar. Dar popote uendapo utakutana na wachafu na waliokonda mpaka inakatisha tamaa! Unajua pamoja na hali ngumu ya maisha, hakuna mtu anafurahia kuona/kukaa/kukutana/kuzungumza na mtu mchafu na aliyekondakonda mbavu nje (hiyo ni asili). Mtu hata kama ni muovu lakini akionekana nadhifu na ana siha njema uvutia kuongea naye na kujiona hadhi yako imepanda ukiwa karibu naye! Sijui uongozi wa manispaa ya Dodoma hukataza ambao hawajaoga na kuvaa vizuri na waliokondakonda kuonekana mjini hama vipi? Sikuwahi kwenda viunga vya ndani ndani ya Dodoma kuona hali ikoje!
Hakika umenena na unajua vizuri Dodoma.
 
george aloyce Kuna Uzi wako hapa uliandika kwamba ulishaliwa tigo mpaka ukakosa mchumba wa TRA.
Swali langu Ni, we ni Mee au kei?
 
Back
Top Bottom