Kamati ya nidhamu ya CCM inaona hao wabunge wanakichafua chama bungeni wakati speaker na naibu speaker(wote ccm) hawalioni hilo...ccm kwa usaniiKuna uwezekano mkubwa Wabunge Mwigulu Nchemba,Peter Serukamba na Juma Nkamia wakahojiwa na Kamati Maalum ya Nidhamu ya Wabunge wa CCM kwa kile kinachosemwa kuwa ni kukichafua chama-CCM. Wabunge hao,kwa nyakati tofauti,wamesikika wakitukana na kutumia lugha ya kuudhi Bungeni. Nani atawagusa watukanaji hawa? Taarifa zaidi zitafuata kadiri zitakavyopatikana. VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam(sasa Dodoma)
Mzee Tupatupa hiyo tetesi umeipata kwa Nape au Lile jangili la tembo wetu?
Chama cha MATUSI kiwahoji WATUSI, haitawahi kutokea asilani, na kama itatokea itakuwa geresha hiyo.
Refer LUSINDE Mtukanaji Arumeru Mashariki.
Hili ndio Bunge la ukweli.....bunge la Ukraine
![]()
Sidhani kama ndani ya CCM kuna mtu hata mmoja mwenye jeuri ya kulisimamia hilo. Kama kweli kungekuwa na nafasi ya kamati ya nidhamu kufanya lolote, basi ingeshakuwa ilimchukulia hatua Lusinde baada ya matusi yake yale ya Arumeru.Kuna uwezekano mkubwa Wabunge Mwigulu Nchemba,Peter Serukamba na Juma Nkamia wakahojiwa na Kamati Maalum ya Nidhamu ya Wabunge wa CCM kwa kile kinachosemwa kuwa ni kukichafua chama-CCM. Wabunge hao,kwa nyakati tofauti,wamesikika wakitukana na kutumia lugha ya kuudhi Bungeni. Nani atawagusa watukanaji hawa? Taarifa zaidi zitafuata kadiri zitakavyopatikana. VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam(sasa Dodoma)
in your dream.Kuna uwezekano mkubwa Wabunge Mwigulu Nchemba,Peter Serukamba na Juma Nkamia wakahojiwa na Kamati Maalum ya Nidhamu ya Wabunge wa CCM kwa kile kinachosemwa kuwa ni kukichafua chama-CCM. Wabunge hao,kwa nyakati tofauti,wamesikika wakitukana na kutumia lugha ya kuudhi Bungeni. Nani atawagusa watukanaji hawa? Taarifa zaidi zitafuata kadiri zitakavyopatikana. VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam(sasa Dodoma)