Bishop Hiluka
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 7,147
- 14,711
Duh! Najaribu kuchora picha ya bunge letu kama lingekuwa hivi ingekuwaje...Hili ndio Bunge la ukweli.....bunge la Ukraine
![]()
Duh! Najaribu kuchora picha ya bunge letu kama lingekuwa hivi ingekuwaje...Hili ndio Bunge la ukweli.....bunge la Ukraine
![]()
Network Search!>>>>>>>>>>>>>>>>>>>>!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!??????????????{{{{{{{{}}}}}}}}}||||||||||||++++------
Aiseeeee,Hahahahaha! Nkamia Oyeeee! Lameck Oyeeee! Serukamba Oyeee! Jitokezeni wengine msiangushe chama, CCM Oyeeee! CCM tuko vizuri.
Hivi mwizi anaweza kumuhoji mwizi mwenzie??
Hili ndio Bunge la ukweli.....bunge la Ukraine
![]()
Hawa hawataki upuuzi,Duh! Najaribu kuchora picha ya bunge letu kama lingekuwa hivi ingekuwaje...
Mzee Tupatupa hiyo tetesi umeipata kwa Nape au Lile jangili la tembo wetu?
Hivi mwizi anaweza kumuhoji mwizi mwenzie??
network ipi? Ya Serukamba?
hamna kitu, cha msingi ni kujitahidi kuwafumbua macho wapigakura.Kuna uwezekano mkubwa Wabunge Mwigulu Nchemba,Peter Serukamba na Juma Nkamia wakahojiwa na Kamati Maalum ya Nidhamu ya Wabunge wa CCM kwa kile kinachosemwa kuwa ni kukichafua chama-CCM. Wabunge hao,kwa nyakati tofauti,wamesikika wakitukana na kutumia lugha ya kuudhi Bungeni. Nani atawagusa watukanaji hawa? Taarifa zaidi zitafuata kadiri zitakavyopatikana. VUTA-NKUVUTE aka Mzee Tupatupa wa Lumumba,Dar es Salaam(sasa Dodoma)