shushushu VIP
JF-Expert Member
- Jul 24, 2016
- 4,800
- 4,319
vp wowowo zipoFour ways au ulanga lounge, kuna kuku choma+mbuzi hatari sana.
Vinywaji vya kutosha + Huduma zetu nazo zipo.
vp wowowo zipoFour ways au ulanga lounge, kuna kuku choma+mbuzi hatari sana.
Vinywaji vya kutosha + Huduma zetu nazo zipo.
Ya kisasa ni noma aisee sema kdgo expensive,na ndio sbb malaika itaendelea kuexist kidogo,alaf wahudumu wa malaika wahuni wanaongeza bei za vinywaji ukiwa juu..Ila cape Town ya kisasa imevunja rekod wanataka kuuua malaika kabisa Sema cape town ya stand makelele mengi
Khaaaaaah Una ratiba Kama zangu umetishaInategemea we ni mtu wa aina gani kwa wadhifa wako..upo na usafiri wako au utatumia usafiri wa bajaji au tax..ila kuanzia kesho ndio shangwe zinaanza..kwanza wajanja tunaenda festival ya nyama vyeyula kula mbuzi..mwambie mtu akuelekeze kama upo na private car kama upo na usafiri wa kawaida sio kesi kwenye coaster adi mnadani..kula nyama adi saa moja..ukigeuka nenda capetown kunywa beer mbili tatu then chomoka na bajaji au boda adi malaika kula rost ya kuku na beer then amua kama unaendelea au unarudi kulala..kama utaki kulala unachagua unapenda live band au mziki..kama wa live band me sina direction yake ila kama wa mziki ingia ngalawa pub pale nje ya club seven kula vitu ukiwa unasubiria mida ya saa saba club iive ukaburudike na marijali wenzio..mida ya saa tisa kama una ela panda dau na mtt wa kike kajilie adi jumapili..then amkia swimming pool st gasper au morena..enjoy your stay bro.huu ni mji wa ngono..ata kama sio mtu wa ivyo ukija dom kwa jinsi kulivyo na madem wakali utapagawa mwenyewe..
Mzeee Wa viwanja swimming pool ya Morena inateleza chini Nashera ndo kila kitu alafu watu wachache raha tuYa kisasa ni noma aisee sema kdgo expensive,na ndio sbb malaika itaendelea kuexist kidogo,alaf wahudumu wa malaika wahuni wanaongeza bei za vinywaji ukiwa juu..
Ila capetown ya town me nikienda pale nafata kuku tu yan..kuku choma zao zina viungo vzuri ukianza huachi..
Hahaha kabisa yan..Khaaaaaah Una ratiba Kama zangu umetisha
Sema ya nashera maji yake baridi haswa..me na baridi dkk 30 kuendelea inshu.Mzeee Wa viwanja swimming pool ya Morena inateleza chini Nashera ndo kila kitu alafu watu wachache raha tu
Unaogopa barid poleeSema ya nashera maji yake baridi haswa..me na baridi dkk 30 kuendelea inshu.

Hahah mwili wangu unaadopt sana changes kwenye baridi..Unaogopa barid polee![]()
![]()
![]()
![]()

..naenjoy maji yakiwa yauvugu vugu..Huna haja ya kuomba msamaha mkuu! Hatuna namna zaidi ya kusubiri serikali ije! Inaweza kutujengea mito na maziwa! Ongezeni kulipa kodi tu!Dodoma palivyo pabaaaaaayaa heri ulale hotelini ucheki series
Wadodoma msikasirike lakini ndio ukweli
Hahah mwili wangu unaadopt sana changes kwenye baridi....naenjoy maji yakiwa yauvugu vugu..

HahahahHuna haja ya kuomba msamaha mkuu! Hatuna namna zaidi ya kusubiri serikali ije! Inaweza kutujengea mito na maziwa! Ongezeni kulipa kodi tu!
Usiache kumtafuta mdau hapo juu mkaburudikeon ma way
Kwani huwa unalazimishwa kuja?Labda aisee....
Maana nikienda huko siku siku 3 naona kama miaka 3
LohKwani huwa unalazimishwa kuja?
Tatizo mkoa huu na washamba tofauti kabisa
Mkuu, minapenda kwenda pale kila ijumaa.club laziz vp bend live ni lin na lin
mkuu tutaonana siku moja pale nitakutafuta mkuuMkuu, minapenda kwenda pale kila ijumaa.
Napaona pazuri kwasababu ni salama na fully A/C na hakuna msongamano
Aisee umepataja nyumbani kwetu kabisaa pale kwenye Garage ya mabasi ya urafiki karibu na morning star zile hostel za cbe duuh!Njoo Iringa road,kuna kiota kinaitwa KITOLI PUB