farharu
JF-Expert Member
- May 29, 2016
- 527
- 588
Inawezekana kabisa ww ndie mshamba halafu bado hujajigunduaLoh
Kuna washamba kama dodoma????
Inawezekana kabisa ww ndie mshamba halafu bado hujajigunduaLoh
Kuna washamba kama dodoma????
Usjali mkuu....mkuu tutaonana siku moja pale nitakutafuta mkuu
Kwa hiyoooo- na wewe pia unakulaga visichana vya huko eh? Na kuzurura usiku? Na Bunge likiishaga bata halichachagi kweli?Khaaaaaah Una ratiba Kama zangu umetisha
Washamba ni watu wa mkoa gani?Kwani huwa unalazimishwa kuja?
Tatizo mkoa huu na washamba tofauti kabisa
Sawa mjanja wa dodomaInawezekana kabisa ww ndie mshamba halafu bado hujajigundua

























Nyerere square ndio mjini....wanapapendaje wenyewewagogo bhana kumbe hapo nyerere square ndo mnapofanya ibada
Sawa mjanja wa dodoma
Pambana na vumbi na jua lenu.......... (linda macho yako tu)...
Usisahau lotion kutia glycerine ili kupunguza mpauko
(Leo wanadodoma mmepanic vibaya vibaya yaani![]()

Kwel haisee kiongozDodoma palivyo pabaaaaaayaa heri ulale hotelini ucheki series
Wadodoma msikasirike lakini ndio ukweli
Wee nitake radhi mm keKwa hiyoooo- na wewe pia unakulaga visichana vya huko eh? Na kuzurura usiku? Na Bunge likiishaga bata halichachagi kweli?
Usiache kumtafuta mdau hapo juu mkaburudike
Nb; alishasema hana madhara
Mkuu, last week nilienda pale Cape Town kisasa......... Duhhhh, kweli moyo wangu ulitapa raha mujarab. Kisasa papo poa sanaIla cape Town ya kisasa imevunja rekod wanataka kuuua malaika kabisa Sema cape town ya stand makelele mengi
Wazawa wengi wa dodoma wapo darDodoma palivyo pabaaaaaayaa heri ulale hotelini ucheki series
Wadodoma msikasirike lakini ndio ukweli
Naona unachukua tahadhari ya mizinga...Ila kama upo vzuri mfukoni ukija tuchekiane ukaonyeshwe uzuri wa mji..hamna kutegemeana is just for compan an having fun

Ni mihangaiko na maisha tu..mbna wazawa wengi wa mwanza na moshi pia tunao huku..Wazawa wengi wa dodoma wapo dar
Na ww mgogo?Ni mihangaiko na maisha tu..mbna wazawa wengi wa mwanza na moshi pia tunao huku..