Dodoma mitaa ipi ya kujidai?

Dodoma mitaa ipi ya kujidai?

Inawezekana kabisa ww ndie mshamba halafu bado hujajigundua
Sawa mjanja wa dodoma

Pambana na vumbi na jua lenu.......... (linda macho yako tu)...


Usisahau lotion kutia glycerine ili kupunguza mpauko




(Leo wanadodoma mmepanic vibaya vibaya yaani
 
Ila cape Town ya kisasa imevunja rekod wanataka kuuua malaika kabisa Sema cape town ya stand makelele mengi
Mkuu, last week nilienda pale Cape Town kisasa......... Duhhhh, kweli moyo wangu ulitapa raha mujarab. Kisasa papo poa sana
 
Hahah eeh..maana ckuiz adi vijana tunaenda kunywa alaf unategemea kidume mwenzio alipe..haina io usawa huu..
 
Back
Top Bottom