Ngoja nipitie hapo leo jioni nikielekea shambaVeyula
Kwa kukaa na kusinzia tu!Nyerere square
Dodoma palivyo pabaaaaaayaa heri ulale hotelini ucheki series
Wadodoma msikasirike lakini ndio ukweli
Haina utamu wowote banaNadhani unakuwa hauna hela tu!
Nashera usiku
Matei usiku
Chako ni chako usiku
Stella usiku
Dodoma tamu sana wewe acha kabisa!
Haina utamu wowote bana
Yaani hakuna mkoa sipendi kwenda kama dodoma........
Sijui hata mnaupendea nini
Damn hater..hujaulizwa kama unapenda au hupendi Shame on you!Haina utamu wowote bana
Yaani hakuna mkoa sipendi kwenda kama dodoma........
Sijui hata mnaupendea nini
HovyoooDamn hater..hujaulizwa kama unapenda au hupendi Shame on you!
Dodoma kuzuri sana
Ww labda sio mtu wa ku party
Unapauka kama hauna ela mkuu..Hovyooo
Povu jiiiingi
Ndio nishajibu sasa (iwe nimeulizwa au sijaulizwa)...
Na naongezea... dodoma pabaya pabaya pabayaaaa....full kupauka
Napapenda sana
Stella kula varieties tu za nyama..ila kama unataka kula nyama nzuri..kwa kuku nenda kale capetown ya stand.na kwa makange nenda kale mwanga bar,kwa rost kuku kali nenda kale malaika..kiwanja kitam zaidi ya vyote ni capetown ya kisasa napapenda na matei papo vzuri tho panachuja kimtindo..Napapenda sana
club laziz vp bend live ni lin na lin![]()
![]()
![]()
![]()
Nipo ndani ya Rose Garden hapa namtafuta huyo bibi ya chuga, kisha nichomoke kuelekea Club Lazizz kwa live band ya SAKI STARS pale nikamkute Kachoka na Yamodo wanikoshe mtima kwa nyimbo za wahenga.....
Ila cape Town ya kisasa imevunja rekod wanataka kuuua malaika kabisa Sema cape town ya stand makelele mengiStella kula varieties tu za nyama..ila kama unataka kula nyama nzuri..kwa kuku nenda kale capetown ya stand.na kwa makange nenda kale mwanga bar,kwa rost kuku kali nenda kale malaika..kiwanja kitam zaidi ya vyote ni capetown ya kisasa napapenda na matei papo vzuri tho panachuja kimtindo..
pako poa sana kitoli paleNjoo Iringa road,kuna kiota kinaitwa KITOLI PUB