Dodoma mitaa ipi ya kujidai?

Dodoma mitaa ipi ya kujidai?

Hapa Cape town tunakula backet za Heineken kama hakuna kesho dadekiii, Dodoma tamu bana.
 
Hapa Cape town tunakula backet za Heineken kama hakuna kesho dadekiii, Dodoma tamu bana.
Nimetoka apo kama nusu saa iliopita miwatu ilikua inaangalia mpira i was bored ckua na company..alaf me na mpira vitu viwili tofaut.
 
Alaf leo madem wazuri mjini wamejifungia..mwenye code zao tujulishane walipo
 
Dom mji wa pakishamba big time sio siri. Kwa mihanjo ya usiku ukiacha hapo maisha club sehem zngine mbuzmbuz tu wala hazieleweki
 
Kesho nenda kanisani! Nahisi tu kuwa wewe ni mkristo!! Siyo kufanya ufirauni tu januari hadi desemba!! Hapa namalizia bia yangu ya 40 tu nikalale ili asubuhiiiiii! Niwe mbele za bwana! Huo ndiyo ubinadamu!
 
Nimetoka apo kama nusu saa iliopita miwatu ilikua inaangalia mpira i was bored ckua na company..alaf me na mpira vitu viwili tofaut.
Nilikua nachek mpira yani ilikua shangwe ile maana wap sasa???
 
Back
Top Bottom