The Khoisan
Platinum Member
- Jun 5, 2007
- 18,640
- 18,274
Huyo ndiye alie watumia akina Zitto na Kafulila msg za vitisho nini! Na sisi wananchi tukitamka maneno hayo tusiitwe wachochezi.
Hawa viongozi wa CCM wamelewa madaraka mpaka huwa wanaudhi....................... Halafu Pasco anadai utawala wa sheria Tanzania!! Angekuwa CDM au CUF huyo angeshatiwa ndani kwa ajili hiyo na kutafutiwa kesi!!
Last edited by a moderator: