Chiwa
JF-Expert Member
- Apr 17, 2008
- 4,144
- 5,005
nafikiri neno zuri kwako ni asante kwa kuwa hivyo ndivyo ulivyoona yafaa kwako kunijibu kwa busara ulizo nazoUpuuuuuz
nafikiri neno zuri kwako ni asante kwa kuwa hivyo ndivyo ulivyoona yafaa kwako kunijibu kwa busara ulizo nazoUpuuuuuz
hahaaaaaaaaa ila huwajui wagogo siku moja nilisema ngoja niwakomoe nikasema leo nagawa elfu 5 nikaichengi 200 mbili kila ombaomba alieniomba nikawawa nampa nilianzia hospital ya general nakuja sifa stend ya sabasaba nilikuwa nimebaki na 600 sahivi sinaga time nao napiga kama siwajui vileIjengwe banaa ili kuvutia watu weekend wawe wanakuja kulala na kula bata jiji la Dodoma. Hao omba omba watatishiwa na mitutu ya bunduki na mbwa wakali kama walivyotishiwa waliotaka kuandamana...
hahaaaaaaaaa ila huwajui wagogo siku moja nilisema ngoja niwakomoe nikasema leo nagawa elfu 5 nikaichengi 200 mbili kila ombaomba alieniomba nikawawa nampa nilianzia hospital ya general nakuja sifa stend ya sabasaba nilikuwa nimebaki na 600 sahivi sinaga time nao napiga kama siwajui vile
Vipi kuhusu TangaAise ila imekuwa mapema sana kupewa hadhi ya jiji....
Dodoma bado ni ka mji kadogo sana sikatofoutishi na musoma....
LICHOTANGAZWA KUWA JIJI N I MOOAWA DODOMA AU MANISPAA YA DODOMA?Kondoa ipo wapi?
Wangesubiri mji upate vigezo vinavyostahili mkuu,sisi hatukatai Dom kuwa jiji na tunapenda sana iwe hivyo lakini si kwa style hii. Huku ni kudhalilishana tu. Barabara za njia mbili zipo tatu tu ambazo ni;hiv
hivi nani atapewa gari na akasema hawezi kuchukua kwa sababu hawezi kuendesha?
au nani atapewa nyumba aseme siwezi kuchukua hiyo nyumba kwa kuwa sina familia? lakini lililokubwa je unajua jinsi huu mji unavyopangwa au unauona kwa mazoea tu?
wewe kwenu sisi tumekuja lakini tunaona unakuwa na kuendelea kwa kasi mno!
Kama ulipita na treni hujaiona vizuri Dodoma.Aise ila imekuwa mapema sana kupewa hadhi ya jiji....
Dodoma bado ni ka mji kadogo sana sikatofoutishi na musoma....