Stanley Mitchell
JF-Expert Member
- Jan 2, 2014
- 4,574
- 4,073
Naskia Chato inakua Manispaa ya Jiji la geita
Dodoma ni hotel chafu kabisa nadhan kuliko hotel zote zinazofahamika hapo dodomaKuna baa maarufu za 5 star kama vile Chako ni Chako mkuu ila hotel labda Dodoma hotel![]()
Unajua Michese,zuzu chinyoya Kule kuna maghorofa hatarKondoa ipo wapi?
Kwani ulipo vipo au roho mbaya tu.......Hakuna stand ya mabasi.
Hakuna stand ya daladala.
Hakuna uwanja wa ndege.
Hakuna miundombinu ya maana.
Hakuna hata 5 star hotel hata moja.
Wenye mengine mtaongezea.
hakuna chemaHakuna stand ya mabasi.
Hakuna stand ya daladala.
Hakuna uwanja wa ndege.
Hakuna miundombinu ya maana.
Hakuna hata 5 star hotel hata moja.
Wenye mengine mtaongezea.
hapo kuna wapiga picha wengi kama nyuki ukipita tu wanataka upige picha na mwalimu hapo alafu uwalipeHivi hii ni kama ile ya SA Mandela Square?
Hapo Nyerere Square kuna kitu gani zaidi ya huo mnara?
mbona kuna magufuli square piaNadhani ile nyerere square ndio iliyo ipa Dodoma hadhi ya kuwa jiji![]()
Vipicha vina quality ya chini kama ccmSamahani bundi giza naomba uombe msaada watu wakuusaidie kuweka picha maana unaweka tupicha tudogo sana na vya quality ya chini mno...
Hii ni Thika Superhighway Nairobi.
Hapa ni Msamvu Morogoro
hapo kuna wapiga picha wengi kama nyuki ukipita tu wanataka upige picha na mwalimu hapo alafu uwalipe
pia kuna sehemu za kivuli za kukaa
Ina maana tumekosa za jiji la Dodoma mpaka tuwekewe za Kenya?Hii ni Thika Superhighway Nairobi.
Hakuna stand ya mabasi.
Hakuna stand ya daladala. Dar wanazo
Hakuna uwanja wa ndege. Dar wanao
Hakuna miundombinu ya maana. Dar?
Hakuna hata 5 star hotel hata moja. 2 tu Dar
Wenye mengine mtaongezea.
Sasa ile ubungo nayo utasema stand ya mabus? Dar yenyewe 5 star hotel 2 tu. Miundombinu gani Dar kule tandale au? Miji yote ya Tanzania inafanana tu tofauti ndogo sana ukiondoa Dar kwa ukubwa. Dar kubwa lakini sehemu nzuri ni 20% tu huko kwingine utasema uko chato tu.Kuna baa maarufu za 5 star kama vile Chako ni Chako mkuu ila hotel labda Dodoma hotel![]()
NdioWana ruhusu kupiga picha hapo kwenye iyo bikiramaria?
Morogoro moja iyoo huoni background ya milima uruguru kule nyumaSina uhakika ni wapi lakini Sio Dodoma
Hapo morogoro kwenye round about ambapo kuna njia inaenda sua... mjini.... na masikaSina uhakika ni wapi lakini Sio Dodoma