Dodoma City In Photos

Dodoma City In Photos

Hii sehemu ni
image_search_1524928814146.jpg
 
Wangesubiri mji upate vigezo vinavyostahili mkuu,sisi hatukatai Dom kuwa jiji na tunapenda sana iwe hivyo lakini si kwa style hii. Huku ni kudhalilishana tu. Barabara za njia mbili zipo tatu tu ambazo ni;
1. Kuanzia round about ya jamatini mpaka airport haizidi hata 2km.
2. Kuanzia roud about ya jamatini mpaka stand ya zamani ya mkoa haifiki hata 1km.
3. Kuanzi round about ya bahi road mpaka four ways haifiki hata 3km.
Kweli mkuu, hio ni kwa upande wa miundombinu ya barabara bado mengine.
Siyo kwa style hii ya kuonana wajinga kila kukicha.
ngoja tuone lakini hata dar haikuwa ilivyo sasa wakati inatamkika jiji naamini thamani ya miundo mbinu ya wakati ule na sasa dodoma inaweza kuwa vizuri.
kuna uzembe ulikuwepo mwanzo na kikawa chanzo cha mji huu kuwa nyuma ngoja tuone kwa sasa itakuwaje kwa kuwa mpishi ameamua kupika mboga wakati unga haujanunuliwa labda itasaidia wakiona mboga zitapoa na kuni hazitoshi.
 
Ukitembelea nchi nyingine alafu ukirudi Bongo unaambiwa Tanga ni jiji, Arusha jiji, Dodoma jiji na Mbeya jiji unaweza kulia.

Ukimalizia Dar es salaam ambayo ukiwa angani iko kama Mogadishu.

Kweli ni majiji ya nchi za ulimwengu wa 3.
Hakika ni hivyo. Ndiyo maana yake. Wenyewe wanaoyapa hadhi majiji hayo hawana maana yana sifa kama zile za Paris, London, Manchester, Liverpool, Washington DC, New York etc.
 
Hakika ni hivyo. Ndiyo maana yake. Wenyewe wanaoyapa hadhi majiji hayo hawana maana yana sifa kama zile za Paris, London, Manchester, Liverpool, Washington DC, New York etc.
Ila kweli hii ni kwa kiwango chetu nchi zinazoendelea (ulimwengu wa tatu). Na Dom itakuja kuwa jiji la mfano kwa Tanzania, sababu ina pangwa kulingana na mipango ya majiji ya kisasa. Japo ni mapema, tupende vyetu
 
Ila kweli hii ni kwa kiwango chetu nchi zinazoendelea (ulimwengu wa tatu). Na Dom itakuja kuwa jiji la mfano kwa Tanzania, sababu ina pangwa kulingana na mipango ya majiji ya kisasa. Japo ni mapema, tupende vyetu
Hakuna jiji Tanzania labda Tanga lilopangwa kama Dodoma. Arusha, Mwanza,Mbeya na Dar kwenye mipango miji ni takataka kabisa
 
Morena Hotel kama sikosei. Lakini hiyo ni sawa tu na Naf Beach kule Mtwara
 
Labda 5 star hotel ndo hakuna, vingine vya juu yake vyote vipo!
Mkuu muogope Mungu wengine tupo Dodoma, saidia jamii kuwaeleza vilipo? Mbali na katoto ka uwanja wa ndege vingine vipo wapi? Mkurugenzi kasema watajenga wewe unasema vipo Nani mkweli hapo?
 
1. Stand ya mabasi ipo nane nane (kwa muda) wakati stand mpya ipo kwenye ujenzi
upload_2018-1-15_19-51-5-png.676342

upload_2018-1-15_19-52-54-png.676347

upload_2018-1-15_19-51-50-png.676344


2. Stand ya Daladala bado ipo jamatini
Dodoma%20daladala.jpg


3. Uwanja wa ndege upo mbele ya 'chako chako' tena umeongezwa upana + urefu
kiasi kwamba ndege kubwa (baadhi) zinaweza kutua now days. Pia ndege zimeongezeka kutoka ndege 2 per day mpaka ndege zaidi ya 10 per day, next time usiandike kitu ambacho hauna uhakika nacho mkuu.

4. Hapo kwenye miundo mbinu ulikuwa na maanisha miundo mbinu ipo hiyo mkuu, kwa sababu kama barabara mpaka chang'ombe kuna lami [HASHTAG]#WeUnakwamaWapi[/HASHTAG], shule, hospitali, maji na umeme vinapatikana (japo sio bure). Au muundombinu unaojua wewe ni flyover peke ake??

5. Hapo kwenye 5 star hotel unaweza kuwa sawa coz Morena sio 5 star the same to Dodoma hotel.
Hii ngoma itakesha mkuu ahsante nashukuru
Nzuguni international stadium na msalato international airport
Wale wale
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom