Dodoma City In Photos

Dodoma City In Photos

Mji haujengwi kwa lazima; mji hujijenga wenyewe kwa nguvu za kiuchumi walizonayo wananchi wa eneo husika. Serikali hupeleka miundombinu tu.

Poa asante jiji jipya..ingawa ni criteria zipi zinafanya mji hadi kuwa jiji.
 
Kama dodoma imekuwa city basi Lindi na Mtwara ziwe city maana miji yao haitofautiani sana
 
Pata picha umeambiwa "hii ndio picha ya ngamia kupita kwenye tundu la sindano imepigwa kwa Tecno s3" na wewe una cm yenye kioo cha 4k HD!.. Inakera eeh!??
 
Hahah, Kondoa ipo mkoa gani? Hahahah
sasa kwani Mkoa wote wa Dodoma ndo umetangazwa kuwa jiji? au ni Manispaa ya Dodoma ndo imetangazwa kuwa jiji? Kama niManispaa ya Dodoma basi Warangi hawahusiki hapo. Dodoma mji ni ya wagogo. warangi Kondoa.
 
Kuna watu wa kanda fulani wataanza kuponda bila sababu ya msingi...
 
Ukitembelea nchi nyingine alafu ukirudi Bongo unaambiwa Tanga ni jiji, Arusha jiji, Dodoma jiji na Mbeya jiji unaweza kulia.

Ukimalizia Dar es salaam ambayo ukiwa angani iko kama Mogadishu.

Kweli ni majiji ya nchi za ulimwengu wa 3.
mkuu hayo majungu sasa kwa hiyo majiji ya Tanzania ni kama vyoo wakati yale ya wenzetu ni Sebuleni
 
Mleta mada tupia mapicha mapicha ya kutosha ili tulione jiji jipya
 
Wacha dharau umeona upost kipicha kimoja tu!!
Dodoma inabadilika kwa kasi
QjTldHvNjax4uiBQueXz3ZoXdlcr3GxIc1P_At7pyy-Uowj5yeob7W5XiPrXMj4KmoOD6ZOUmrPfMYCmBkdMcBQtr989AoRQK2gplW-iTtPMVvN6HygzoYA51mDkKrNQVsOa1wJNlLkQ4Dic
 
sasa kwani Mkoa wote wa Dodoma ndo umetangazwa kuwa jiji? au ni Manispaa ya Dodoma ndo imetangazwa kuwa jiji? Kama niManispaa ya Dodoma basi Warangi hawahusiki hapo. Dodoma mji ni ya wagogo. warangi Kondoa.
Kondoa ipo wapi?
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom