FRANCIS DA DON
JF-Expert Member
- Sep 4, 2013
- 40,521
- 46,606
Ila hizo tiles zilizowekwa hapo zinadhalilisha hilo jiji,yanabanduka kama biskuti, kule Dodoma Itiso kuna mawe mazuri meusi aina ya 'granite' yanachimbwa kule, yatumike kupamba hiyo 'square'.Wakazi wa Dodoma naomba huu mji sasa tuuite DC tu, itapendeza zaidi ya Dom City.........
View attachment 756896

