Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 77,080
- 165,195
Hivi kumbe na wewe pia?Baada ya muda mreeeefu....naopoa leo! Maana kila tangazo huwa sina vigezo...leo nnavyo!
Aseee mi pia napenda hawa watu
nikiwaona ndani ya koti jeupe na ile kitu sijui stenininicope mi hoi jamani
uuuh thanks God kwa kunipatia kitu roho inapenda...
babu umalaya hauna mwenyewe hata mapadri wenyewe ni malayaHakuna watu malaya kama madaktari na manesi. ndo nakuambia ivoo
babu umalaya hauna mwenyewe hata mapadri wenyewe ni malaya
Ha ha ha ha uuuh bana eeeh umalaya ni tabia ya mtu tuİla hawa wamezidi, wakiwa shifti za usiku wanapigana miti ile mbaya. Nna ushahidi staki maswali
Ha ha ha ha uuuh bana eeeh umalaya ni tabia ya mtu tu
mi nawapenda sana madaktaree sifa zingine zangu moyoni
Babuuu yani kwa madaktaree hujaning'oaNakushauri utupende sisi makuli. Tukishabeba mizigo ya watu, moja kwa moja tunarudi nyumbani kubeba mizigo ya home.
Babuuu yani kwa madaktaree hujaning'oa
makuli mnaongoza kwa kuibiwa make ukirudi home umecheka mzigo unaubeba sa ngapi?
Kwani wewe mkuu hata ukiwa na binti ..akikuletea mkwe wa aina hiyo hutapenda..ila kusema ukweli maisha ni maisha wakati mwingine haiangali mtu yupo na nani..lakini hapa najifunza kitu kikubwa sana.. Kuna trust ipo kwenye jamii miaka mingi ambayo inatakiwa kuitunzana kwa kuendelea kuheshimu kazi na kufanya kwa bidii na uwezo wetu wote, hasa kwenye kuisaidia jamii...lkn pamoja na kuweke image nzuri ya tabia njema na uadilifu kwenye maisha kwa ujumla..tunashukuru kuna watu kama akina dr. isac wa clouds njia panda wanaifanya hiyo kazi vzr..
Wivu nnao, muda wa kazi huoooooWatakucheka watu.
Hivi unajua madaktari ndo wanaongoza kwa kushikashika Papuchi za wake za watu? Huna wivu?
Yaani kuna kitu about this people, hata sielewi ni nini ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession. Hawa watu they got true love na wanajua kujali.
Ni PM number zako..
sure proud to bedoctors i like u....
Hapo umeweka mambo sawa zaidiDoctors I like u....