Doctors


Sijapenda ku-quote hii post, lakini imenilazimu. Nakuunga mkono, ukweli pia mwanamke huwezi kutumia mambo yako eti kumpata doktareee, maana kwao ni za kawaida na wala haziwachanganyi (maadili) na pia naamini huwa wanaziona mara kwa mara, hvyo hawawezi kuona yako ni special. Cha msingi tu ni pale anapotaka mwenza wa kuoa bac, lakini kutishiwa kwamba watapata njaa ya ile mambo hilo sahau. Mi nadhani wanaamua tu, ile mambo wanaipata.
 
Au baada ya kuona magonjwa kama dengue yanaongezeka mnataka kuwa kwenye mikono salama?

Sent from my BlackBerry 9780 using JamiiForums
 
Aisee pole mamy..muombe mungu atakusaidia utakunana na mkapendana..najua unachomaanisha na unavyosema ...ila leo hapa najifunza kitu kikubwa sana..na nadhani sifa nyingine inategemea na mtu, ila hiyo ya uvumilivu i can asure u wengi ni wavumilivu sana
 
Daktari, na wewe unakubaliana na habari zisizo na facts zozote? Aaaah!!
Kwani wewe mkuu hata ukiwa na binti ..akikuletea mkwe wa aina hiyo hutapenda..ila kusema ukweli maisha ni maisha wakati mwingine haiangali mtu yupo na nani..lakini hapa najifunza kitu kikubwa sana.. Kuna trust ipo kwenye jamii miaka mingi ambayo inatakiwa kuitunzana kwa kuendelea kuheshimu kazi na kufanya kwa bidii na uwezo wetu wote, hasa kwenye kuisaidia jamii...lkn pamoja na kuweke image nzuri ya tabia njema na uadilifu kwenye maisha kwa ujumla..tunashukuru kuna watu kama akina dr. isac wa clouds njia panda wanaifanya hiyo kazi vzr..
 
Yaani kuna kitu about this people..hata sielewi ni nini..ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession..Hawa watu they gat true love na wanajua kujali...


Watakapokuonesha uhuni wao uje kutuhabarisha pia,usidanganywe na makoti meupe,
 
 

Kwa hili jina unadhani sisi madokta tutakukonyeza kweli?
 
Unaambiwa unapotaka kuoa ama kuolewa usiseme nataka kuishi kama fulani laa hashaa! Maana huyo unayemsema ndoa yake yaweza kuvunjika vp yako nawe itavunjika kwa maana ulikuwa unaishi kama fulani?

Kwenye maisha ya ndoa unaishi wewe kama wewe tu sasa unaposema hao uliowataja ukikuta hawako hivyo na umeshaingia kwenye ndoa utafanyaje Mkuu:smile-big:

Tafakari chukua hatua kuna watu walioa na kuolewa mfano unataka mume ama mke mwenye kazi ili mchanganye salaries wengi mambo yamekuwa kinyume ,mke anasema mume hajui kutunza

Kaa chini jipange vzr
 
Yaani kuna kitu about this people, hata sielewi ni nini ila my dream ni kuolewa na mtu mwenye hii proffession. Hawa watu they got true love na wanajua kujali.

Aseee mi pia napenda hawa watu
nikiwaona ndani ya koti jeupe na ile kitu sijui stenininicope mi hoi jamani
uuuh thanks God kwa kunipatia kitu roho inapenda...
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…