Paul Alex
JF-Expert Member
- Jul 14, 2012
- 4,240
- 9,527
Kawaida unapokabidhiwa silaha kuna mambo unatakiwa ufahamu. Hauruhusiwi kuitoa au kuionyesha silaha yako kama hauna sababu na hakika ya kuitumia.
Ni wazi kwamba utakutana na watu wenye fujo tena viburi ila kama hauna sababu na hakika ya kuitumia basi iache silaha yako kwenye holster na uwe mtulivu. Hauruhusiwi kupeleka mkono kwenye silaha wala kusogeza shati ili silaha ionekana maana 'brandishing' ya namna hii inatafsiriwa kama vitisho.
Ukifanya brandishing ya silaha, kwenye akili yako unaweza dhani ni kwaajili ya kutishia tu ila kwenye akili ya judge atatafsiri kama 'promise/ahadi' ya kuitumia.
Anyway, kwenye mazingira ya kawaida silaha ni pamoja na siri za mtu. Kuna 'watu' waliodukua na kuwa na sauti za kina Membe, Makamba, Kinana, Nape, n.k
Hivi hawa walikuwa na sababu ya kufanya 'brandishing' ya 'silaha' zao?
Je, brandishing imekuwa na faida au hasara kwao?
Moja kati ya sababu za kushinda vita ni 'element of surprise' /uwezo wa kushtukiza.
Sasa unapomjulisha adui yako silaha yako wakati huna hakika ya kuitumia unakuwa umefanya ujinga gani?
Membe amesema waziwazi sauti iliyodukuliwa 100% ni yake, tena kwa kujiamini! Enhe!! Kwa wadukuzi hii imekaaje?
Maana kama kuna ujumbe mlitaka kutuma kwenye jamii, basi umesaidia zaidi ujumbe wa Membe na agenda zake!
Hizi sauti za kudukua zingekuwa msaada kama zingebaki siri hivyo waliyokuwa wakiyaorganize kina Membe mngeyajua kabla na wakati wote kuwa mbele yao kwenye maamuzi.
Sasa mmepoteza hiyo element of surprise na hizo sauti hamuwezi kuzipeleka kwenye kikao chochote cha maamuzi tofauti labda na vikao vya uchawi!!
Do not withdraw your weapon if you don't intend to use it!
Ni wazi kwamba utakutana na watu wenye fujo tena viburi ila kama hauna sababu na hakika ya kuitumia basi iache silaha yako kwenye holster na uwe mtulivu. Hauruhusiwi kupeleka mkono kwenye silaha wala kusogeza shati ili silaha ionekana maana 'brandishing' ya namna hii inatafsiriwa kama vitisho.
Ukifanya brandishing ya silaha, kwenye akili yako unaweza dhani ni kwaajili ya kutishia tu ila kwenye akili ya judge atatafsiri kama 'promise/ahadi' ya kuitumia.
Anyway, kwenye mazingira ya kawaida silaha ni pamoja na siri za mtu. Kuna 'watu' waliodukua na kuwa na sauti za kina Membe, Makamba, Kinana, Nape, n.k
Hivi hawa walikuwa na sababu ya kufanya 'brandishing' ya 'silaha' zao?
Je, brandishing imekuwa na faida au hasara kwao?
Moja kati ya sababu za kushinda vita ni 'element of surprise' /uwezo wa kushtukiza.
Sasa unapomjulisha adui yako silaha yako wakati huna hakika ya kuitumia unakuwa umefanya ujinga gani?
Membe amesema waziwazi sauti iliyodukuliwa 100% ni yake, tena kwa kujiamini! Enhe!! Kwa wadukuzi hii imekaaje?
Maana kama kuna ujumbe mlitaka kutuma kwenye jamii, basi umesaidia zaidi ujumbe wa Membe na agenda zake!
Hizi sauti za kudukua zingekuwa msaada kama zingebaki siri hivyo waliyokuwa wakiyaorganize kina Membe mngeyajua kabla na wakati wote kuwa mbele yao kwenye maamuzi.
Sasa mmepoteza hiyo element of surprise na hizo sauti hamuwezi kuzipeleka kwenye kikao chochote cha maamuzi tofauti labda na vikao vya uchawi!!
Do not withdraw your weapon if you don't intend to use it!