Kanyapini JF-Expert Member Jul 25, 2012 295 80 Oct 8, 2012 #3 Kawalia timing tu hao, ngoja wajipange, atakula kichapo na kupolwa huyo dem.
ndenga JF-Expert Member Dec 20, 2010 1,788 1,302 Oct 8, 2012 #4 Kwenye hizi issue hata hizo nguvu sijui zinatokea wapi...
Tram Almasi JF-Expert Member Feb 26, 2009 749 226 Oct 8, 2012 #5 Hawa jamaa hawakujua kama wanachezea mali za Nikolai Valuev? Wmekiona cha moto sasa. Chezeiya mali ya Boxer wewee?
Hawa jamaa hawakujua kama wanachezea mali za Nikolai Valuev? Wmekiona cha moto sasa. Chezeiya mali ya Boxer wewee?
Tram Almasi JF-Expert Member Feb 26, 2009 749 226 Oct 8, 2012 #6 ndenga said: Kwenye hizi issue hata hizo nguvu sijui zinatokea wapi... Click to expand... Hii kitu hii kitu! Inaweza ikakufanya hata ukafa manake. ubavu mdogo lakni utataka kujitutumua na kuionyesha hyo kibox manyoya kwamba unaweza!
ndenga said: Kwenye hizi issue hata hizo nguvu sijui zinatokea wapi... Click to expand... Hii kitu hii kitu! Inaweza ikakufanya hata ukafa manake. ubavu mdogo lakni utataka kujitutumua na kuionyesha hyo kibox manyoya kwamba unaweza!
nyabhingi JF-Expert Member Oct 12, 2010 15,515 20,005 Oct 8, 2012 #8 Dah...mbele ya demu hakuna mnyonge..hivi ile kitu ina siri gani down there?
Cheche Mtungi JF-Expert Member Nov 14, 2010 2,619 771 Oct 8, 2012 #9 nyabhingi said: Dah...mbele ya demu hakuna mnyonge..hivi ile kitu ina siri gani down there? Click to expand... Muulize Sani Abacha!
nyabhingi said: Dah...mbele ya demu hakuna mnyonge..hivi ile kitu ina siri gani down there? Click to expand... Muulize Sani Abacha!
mathematics JF-Expert Member Feb 21, 2012 3,323 1,105 Oct 9, 2012 #10 usimchezee njembaa akiwa na mamaa, hata akiwa na mwili mdogo anaweza tuna kama tembo,
Facilitator JF-Expert Member Oct 30, 2010 2,280 1,763 Oct 9, 2012 #11 mbara said: Muulize Sani Abacha! Click to expand... Huyu jamaa habari yake ni kubwa aisee