Do Airplanes Reverse? Have Side Mirrors??

Do Airplanes Reverse? Have Side Mirrors??

Hahaha nasikia zinajengewa runway yake kama mwendokasi ndege zingine walie tu, halafu wameng'oa siti wamechomelea bomba za kushikilia wanajiandaa kwa mafuriko ya abiria, abiria mtasimama hakuna kukaa.


Aiseeh!, kwa mzee wa chato usukute haya yote yanawezekana! 😀
 
Samahani kaka, wewe ni Pilot....
Of recent nimekuwa na shauku ya kukaa kwenye kile chumba cha marubani kinaitwa cockpit nadhani. Walau niwe rubani mtazamaji.... ikiwa wewe ni pilot, ntaomba uniruhusu niwe abiria kwenye flight yako (ntalipia ticket) lakini nikae huko cockpit ukiwa unaendesha unanielekeza kila kitu.... aawww na uzee huu sijui sitaogopa hehehehehhe.

Hivi kwa umri huu naweza kubadili fani na kuwa rubani...!!?
Hapana, huwa naangalia sana vile vipindi vya 'Dubai Mega Airport' na 'Air crash investigation' kwenye channel ya 'NatGeo Gold', very intresting.
 
Du, ndugu hili ni tango pori,kwa maelezo yako tokea mwanzo unapoteza watu, nina maswali kidogo,je ndege inashusha na kupakia wapi abiria? Je,ndege inapokuwa inapakia abiria hakuna majengo? Je, ndege ikakiribia runway rubani akapata taarifa kuwa kuna ndege nyingine inatua inazimwa au inakuwa silence? Je,nguvu ya injini huzidishwa wakati gani ikiwa imepaki au ikiwa runway
Kwakweli sioni mtiririko wa kimantiki au corelasiveness ya maswali yako, na majibu yake yapo wazi. Unaponiuliza wapi inashusha na kupakia that is a vague qn, okay inashusha na kupakia uwanjani kwenye facilities husika, but so what? Ndege inapopakia abiria panakuwa na jengo, so what? Ndege ikikaribia runway na ikapata taarifa hiyo basi ita 'abort' landing na kuwekwa on a 'circling pattern' hadi mambo yatakapokuwa shwari, na ofcourse haizimwi, but so what?
 
Hapana, huwa naangalia sana vile vipindi vya 'Dubai Mega Airport' na 'Air crash investigation' kwenye channel ya 'NatGeo Gold', very intresting.

Kiukweli umenifingua na hapa ntatenga muda niwe naangalia walau kipindi kimoja kwa wiki. Asante sana rafiki, be blessed.
 
Back
Top Bottom