Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

guys, why are you so much concerned with chadema issues? Kama babu anaiharibu chadema nyie kinawauma nini, ilihali mnajulikana wazi ni wanaccm? Kuharibika kwa chadema si ndiyo faraja yenu ili nyie mfanikiwe? Sasa mnaumia nini? Au hata pilipili za shamba nyie huwa zinawawasha? Mind your business bwana, ya chadema tuachieni chadema wenyewe. Chama chenu kinaporomoka mchana kutwa, lakini hamuhangaikii kukinusuru, kucha kuchwa mnaiongelea chadema.
mkuu mbn povu linakutoka mm ni mzalendo sina chama
 
Hivi kwan huyu babu atagombea tena? Amuulize profesa kila uchaguz kura zinapungua. Asijejidanganya kuwa 2015 zitaongezeka. Bora aachie majank ataumbuka buree
 
Guys, why are you so much
concerned with CHADEMA issues? Kama babu anaiharibu chadema nyie
kinawauma nini, ilihali mnajulikana wazi ni wanaCCM? Kuharibika kwa
CHADEMA si ndiyo faraja yenu ili nyie mfanikiwe? Sasa mnaumia nini? Au
hata pilipili za shamba nyie huwa zinawawasha? Mind your business bwana,
ya CHADEMA tuachieni CHADEMA wenyewe. Chama chenu kinaporomoka mchana
kutwa, lakini hamuhangaikii kukinusuru, kucha kuchwa mnaiongelea
CHADEMA.

mkuu, kwani ccm haikuwanikiwa lini? maana me nakiona chama hiki tangu kianzishwe kimekuwa na mafanikio kibao hususan kuunda dola
 
lakini mda wa wazee kwenye siasa ndiyo unayoyoma atawapisha tu vijana hata bila kupenda.
 
Ukweli unaujua,

Anyway, vipi hamjatoa tamko tu bado kuhusu ishu ya Dj kwenda kwenye pati ambayo mliisusia?

hilo ndo tatizo lenu vijana wa lumumba Dr halisema chadema haijapata mwaliko wowote kutoka kwa serikali so hawatashiriki sehemu hawajaalikwa, Mbowe halihalikwa na Obama baada ya ccm kutomwalika.
 
Hivi kwan huyu babu atagombea tena? Amuulize profesa kila uchaguz kura zinapungua. Asijejidanganya kuwa 2015 zitaongezeka. Bora aachie majank ataumbuka buree

babu asipogombea pale chadema anaweza kufa mtu kwa ajili ya hilo.
 
DR SLAA NA UTENDAJI KAZI
KATIBU MKUU wa chadema DK WILBROD SLAA ndio chanzo cha migawanyiko chadema moja alichangia sana kuondoka kwa makamanda shonza na mwampamba,pili katika ofisi yake barua za siri zimekua zikivuja mfano ni barua ya zito ambayo tuliisoma hp mtandaoni,tatu kumshinikiza prof baregu ajitoe katika tume ya katiba bila kutoa 7bu za kueleweka na kusababisha mjadala mkubwa ndani na nje ya chama,tano kukurupuka na kusema chadema hawatashiriki ujio wa obama kisha tunamwona mwenyekiti wake akiwa ikulu jambo hili limeleta mkanganyiko na migawanyiko source akiwa dr SLAA.NAFIKIRI IMEFIKA WAKATI CHADEMA WAKATAFUTA MTENDAJI MKUU HUYU AKAWA MSTAAFU KWA SASA KWANI MGEMA AKISIFIWA TEMBO HULITIA MAJI

We gamba gumu!! kwa vile CCM mmezoea kugawanyika na kuficha madudu, siyo CHADEMA, CHADEMA HAKUNA MGAWANYIKO, hao wasaliti uliowataja hawakuondoka kwa hiari yao wenyewe, bali WALIFUKUZWA kwa utovu wa nidhamu. Umeelewa?? kama kuna waliojileta kwenye chama chenu na kusema CDM kuna matatizo wanatafuta sifa. Pengine hawajui matatizo na migawanyiko inayoendelea kudumu kwenye chama chenu cha Majangili na Majambazi. Upo?

Copy to Chilisosi bendera fata upepo!!
 
hivi mnajua nyie watu wa kudaka buku 7 ni mambumbumbu sana!!! Mkianzisha uzi mnachangia kwa mtiririko kama mmepewa asignment darasani bana. Aibu yenu wenyewe hiyo endeleeni kujiumbua kwa upuuzi kama huu. Watanzania wameamka wengi wao hata wa vijijini hawanunuliki kama nyie wa bei chee.
 
Wewe una nafasi gani Cdm? Au unaanduka kuhalalisha buku saba yako leo? Shonza nae ni mwanasiasa au ni kama ule mpira unaotumiwa mara moja?

Mkuu ile tu kupoteza mda wako kuniandika katika mada isiyonihusu inaonyesha ni jinsi gani siasa zangu zimewabana mbavu.
Haya umesikika na matusi yako wasalimie wafuasi wenzio wa kamkono hapo ufipa mlipopanga.
 
Yule mzee inawezekana anatumia ndumba mana pamoja na madhambi yote anayofanya ndani ta chama lakini ukimgusa tu, jamaa wanaanza kurusha miguu utadhani wanataka kufa
 
Ikiwekwa post kuhusu CCM au Lowasa; BAVICHA huwa mnatiririka sana.
 
Mkuu ile tu kupoteza mda wako kuniandika katika mada isiyonihusu inaonyesha ni jinsi gani siasa zangu zimewabana mbavu.
Haya umesikika na matusi yako wasalimie wafuasi wenzio wa kamkono hapo ufipa mlipopanga.

Hawa ni wafu tu mkuu, huna haja ya kupoteza nguvu na akili zako kuwajibu watembea na tindikali na sumu na mabomu
 
Mkuu ile tu kupoteza mda wako kuniandika katika mada isiyonihusu inaonyesha ni jinsi gani siasa zangu zimewabana mbavu.
Haya umesikika na matusi yako wasalimie wafuasi wenzio wa kamkono hapo ufipa mlipopanga.
Wewe ni kiburudisho cha maccm huna lolote mchumia tumbo mkubwa wewe.sura mbaya kama bibi kizee.umekomaa utadhani unaumwa kwashakoo.
 
Mkuu ile tu kupoteza mda wako kuniandika katika mada isiyonihusu inaonyesha ni jinsi gani siasa zangu zimewabana mbavu.
Haya umesikika na matusi yako wasalimie wafuasi wenzio wa kamkono hapo ufipa mlipopanga.

Asante Kada bora umelitel hilo vaa suruali but uwezo wake wa kufikiri mdogooo.
 
hilo ndo tatizo lenu vijana wa lumumba Dr halisema chadema haijapata mwaliko wowote kutoka kwa serikali so hawatashiriki sehemu hawajaalikwa, Mbowe halihalikwa na Obama baada ya ccm kutomwalika.
HALIHALIKWA Ndio kitu gani?
 
Tatizo la Slaa ni kuamini kuwa yupo sahihi 100%. Amekuwa mropokaji.
 
Kweli nimeamini, watu wanalipwa buku7 jf haina hadhi yake tena
 
dr slaa na utendaji kazi
katibu mkuu wa chadema dk wilbrod slaa ndio chanzo cha migawanyiko chadema moja alichangia sana kuondoka kwa makamanda shonza na mwampamba,pili katika ofisi yake barua za siri zimekua zikivuja mfano ni barua ya zito ambayo tuliisoma hp mtandaoni,tatu kumshinikiza prof baregu ajitoe katika tume ya katiba bila kutoa 7bu za kueleweka na kusababisha mjadala mkubwa ndani na nje ya chama,tano kukurupuka na kusema chadema hawatashiriki ujio wa obama kisha tunamwona mwenyekiti wake akiwa ikulu jambo hili limeleta mkanganyiko na migawanyiko source akiwa dr slaa.nafikiri imefika wakati chadema wakatafuta mtendaji mkuu huyu akawa mstaafu kwa sasa kwani mgema akisifiwa tembo hulitia maji

kati ya watu ambao ni wajinga wewe ni mmojawapo na sababu ni hizi:
1. Hizo sh. 7000 kutoka lumumba zinakufanya upate uwezo wa kunywa viloba ili upate uwezo wa kuandika vitu vya ajabu
2. Mbinu pamoja na propaganda za bei rahisi kawafanyie hao ndugu zako wa kimagamba na si watu wenye kujua wanachokitenda
3. Kuaidiwa udc usikufanye upoteze hizo akiri za kawaida
4. Kumbuka kuwa hata ufanye nini kwenu magamba ni kwamba maji yameisha mwagika, na jua kuwa ndugu zako magamba wanajua hiyo ndiyo maana mnatumwa nyie wa book 7 kuandika huo utumbo
 
Back
Top Bottom