Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

Dkt. Wilbroad Slaa ndio chanzo cha migawanyiko CHADEMA

Mwaka wa bajeti ndo huo... bado tu ni buku 7? Hakuna increment huko lumumba?
 
kijana kwanza karibu sana jf , sasa sijui ni mgeni au ndiyo wale buku 7 fc wenye Id's zaidi ya kumi kila mmoja ! Hebu muulize HAMMY D anayo majibu yote ya huu upuuzi wako tena kutoka kwa Dr Slaa mwenyewe, baada ya hapo rudi tena .
 
mbona huko kwenu ccm kuna wazee wengi sana na hata wengine mlishawafukuza/kustaafu/ mkawarudisha tena mkawapa nafasi za juu kama akina kinana, mangula na wengineo. Dr. slaa hana wa kumlinganisha katka team nzima ya ccm ukianza na mw /kiti, wajumbe na hata makada. Slaa ni mtu mwenye uelewa mkubwa na uwezo wa wa kuchambua mambo. kwani hakuna haja ya kumchambua mtu hiv sasa, chamsingi ni kuangalia nini cha muhimu ambacho kitatuletea maendeleo kwa ujumla.
 
vijana wapewe zaidi nafasi wazee wabaki tu km washauri kwani wameshazeeka na haifai kung'ang'ania madaraka mwishoe unaharibu

Muondoweni kwanza yule aliyejaa mvi kichwa kizima ndipo mtakapo kiona kibanzi cha wenzenu.
 
Sayansi ipi unayoizungumzia?? Ya kutembea na sumu hadi bar ukivizia kuwalisha wenzio? Kumwagia watu tindikali?? Poor u.

Ungekua na uthibitisho huo ungenipeleka polisi.Umeshafukuzwa CHADEMA kwa utovu wa nidhamu jipange tu
 
Chilisosi,

Upotoshwaji ikiachwa kuendelea kwa muda mrefu hatimaye kuna watu wataamini ni ukweli. Naomba kujibu Mimi mwenyewe hoja zote zilizotolewa na mleta thread.

1) Ni dhahiri lengo la mleta thread ni kupotosha umma, na kujaribu kuchanganisha viongozi. Kuondolewa kwa Shonza, Mwampamba na kundi Lao ni matokeo ya tabia ya mbovu, utovu wa nidhamu, siyo tu ndani ya Chama, Bali hata ndani ya Chombo chao Bavicha. Kamati ya kuwachunguza iliundwa Morogoro Katibu Mkuu hakuwepo. Hivyo ni wazi mleta mad a hajui au kwa makusudi tu ameamua kupotosha. Kwa Katiba ya Chadema namabaraza yake kuchukuliwa mtu hatua ya kinidhamu ni mchakato mrefu na unapitia vikao mbalimbali. Maswala ya nidhamu yanasimamiwa na Katiba ya Chama Toleo la 2006 Ibara za 5.4(1-4); Kukoma kwa uongozi ( Ibara 6.3.4(b na c na e). Mamlaka za Nidhamu zinatajwa Ibara ya 6.3.6 pamoja na Kanuni Mbalimbali za Chama nazo ziko ndani ya Kitabu cha Katiba. Mto mada au hajasoma, au ni mbumbumbu tu mwenye kutumika au mpotoshaji tu. Kama anavyosema mleta mada ni kweli, Dr Slaa anaweza kuamua tu, basi Dr Slaa ni sawa na Mungu. Chadema ni Kati ya vyama vichache vinavyofanya vikao vya kikatiba, siyo tu kwa mujibu wa Katiba na Mara nyingi kwa kutumia mamlaka ya vikao vya dharura. Kauli ya mleta mada ni matusi kwa wanachadema wote na hasa Kamati Kuu na Baraza Kuu, ambazo indigo vyombo vya maamuzi.....

Mkuu,
1. Bavicha waliwafukuza akina shonza kwa remot control kutoka kwako ndio mana hujawahi kujibu hoja za Shonza, za Mwampamba, ktb wa BAVICHA mkoa wa Mwanza, Tanga na wale wa Mbeya. Na hutakaa uweze kujibu.
2.Baregu alichagua nchi kwanza chama baadae ndio mana alibaki kwenye tume tofauti na matamko yenu ya kujitoa na kumtaka aachie ngazi.kumbuka ht ktk bajeti yenu mlisimamia kujitoa
3.barua ya Zitto ipo ht hapa JF, justfication ya muhuri wa siri ni kuishiwa hoja, jambo la msingi hapa ni content ya barua pamoja na uwezo wako km mtendaji mkuu wa chama kushindwa ku control issues. Kiufupi barua ilivuja kutoka CHADEMA bila kujali minor cases km hiyo unayojaribu kujitetea. Msimamo wa Zitto ilikuwa ni Lwakatare ajiuzulu nafasi zake kwa sababu anakabiliwa na tuhuma nzito ikiwa ni pamoja na kuandaa mipango haramu ya kumlisha sumu mhariri wa Mwananchi Denis Msaki

4. Hujajibu hoja ya msingi ya ww kuwa chanzo cha migogoro ndani ya CHADEMA na hilo ndio tatizo lako kujipofusha kwenye mambo ya msingi yanayokuhusu.
 
Haya majanga.Mangula na Kinana ni wazee waliyochoka wameonekana lulu yenu mkawarudisha madarakani.Leo munawashauri wenzenu wawatose wazee si maajabu haya.
 
Mkuu,
1. Bavicha waliwafukuza akina shonza kwa remot control kutoka kwako ndio mana hujawahi kujibu hoja za shonza, za mwampamba, ktb wa bavicha mkoa wa mwanza, tanga na wale wa mbeya. Na hutakaa uweze kujibu sana utaishia kutokwa povu.
2.baregu alichagua nchi kwanza chama baadae ndio mana alibaki kwenye tume tofauti na matamko yenu ya kujitoa na kumtaka aachie ngazi.kumbuka ht ktk bajeti yenu mlisimamia kujitoa
3.barua ya zitto ipo ht hapa jf, justfication ya muhuri wa siri ni kuishiwa hoja, jambo la msingi hapa ni content ya barua pamoja na uwezo wako km mtendaji mkuu wa chama kushindwa ku control issues. Kiufupi barua ilivuja kutoka chadema bila kujali minor cases km hiyo unayojaribu kujitetea. Msimamo wa zittoilikuwa ni lwakatare ajiuzulu nafasi zake kwa sababu anakabiliwa na tuhuma nzito ikiwa ni pamoja na kuandaa mipango haramu ya kumlisha sumu mhariri wa mwananchi denis msaki

4. Hujajibu hoja ya msingi ya ww kuwa chanzo cha migogoro ndani ya chadema na hilo ndio tatizo lako kujipofusha kwenye mambo ya msingi yanayokuhusu.

Ujibiwe hoja zipi zaidi ya majungu uliyoleta?Ulifukuzwa kwa usaliti na utovu wa nidhamu.

Katibu Mkuu ni ngazi ya Rufaa,ungefuata katiba ungekata rufaa.

Haya matusi huku hayasaidii na uache upotoshaji wa kitoto unaofanya.
 
vijana wapewe zaidi nafasi wazee wabaki tu km washauri kwani wameshazeeka na haifai kung'ang'ania madaraka mwishoe unaharibu

Ushauri mzuri sana kwa Kinana Mangula na wenzake wafia magamba bila kumsahau 6.
 
Mkuu ile tu kupoteza
mda wako kuniandika katika mada isiyonihusu inaonyesha ni jinsi gani
siasa zangu zimewabana mbavu.
Haya umesikika na matusi yako wasalimie wafuasi wenzio wa kamkono hapo
ufipa mlipopanga.

huwa naumia sana moyoni nikiwaona wewe na mwenzio mwampamba!
inanishangaza sana inakuwaje vijana wadogo kama nyinyi badala ya kufanya kazi za halali na za heshima mnaishi maisha ya kuungaunga na ujanjaujanja!
its a shame..
 
DR SLAA NA UTENDAJI KAZI
KATIBU MKUU wa chadema DK WILBROD SLAA ndio chanzo cha migawanyiko chadema moja alichangia sana kuondoka kwa makamanda shonza na mwampamba,pili katika ofisi yake barua za siri zimekua zikivuja mfano ni barua ya zito ambayo tuliisoma hp mtandaoni,tatu kumshinikiza prof baregu ajitoe katika tume ya katiba bila kutoa 7bu za kueleweka na kusababisha mjadala mkubwa ndani na nje ya chama,tano kukurupuka na kusema chadema hawatashiriki ujio wa obama kisha tunamwona mwenyekiti wake akiwa ikulu jambo hili limeleta mkanganyiko na migawanyiko source akiwa dr SLAA.NAFIKIRI IMEFIKA WAKATI CHADEMA WAKATAFUTA MTENDAJI MKUU HUYU AKAWA MSTAAFU KWA SASA KWANI MGEMA AKISIFIWA TEMBO HULITIA MAJI
CHADEMA hatuna mgawanyiko, toa unafiki wako
 
huwa naumia sana moyoni nikiwaona wewe na mwenzio mwampamba!
inanishangaza sana inakuwaje vijana wadogo kama nyinyi badala ya kufanya kazi za halali na za heshima mnaishi maisha ya kuungaunga na ujanjaujanja!
its a shame..
mkuu kazi ya heshima ni ipi yawezekana hiyo ya kwako ambayo unaamini ni ya heshimaa kumbe siyo ya heshima hawa vijana waache wafanye kazi ambazo nafsi zao zinawatuma mapenzi ya mtu hayaingiliwi na mtu yeyote kila mtu hufanya kitu kulingana na mapenzi yake,
 
Guys, why are you so much concerned with CHADEMA issues? Kama babu anaiharibu chadema nyie kinawauma nini, ilihali mnajulikana wazi ni wanaCCM? Kuharibika kwa CHADEMA si ndiyo faraja yenu ili nyie mfanikiwe? Sasa mnaumia nini? Au hata pilipili za shamba nyie huwa zinawawasha? Mind your business bwana, ya CHADEMA tuachieni CHADEMA wenyewe. Chama chenu kinaporomoka mchana kutwa, lakini hamuhangaikii kukinusuru, kucha kuchwa mnaiongelea CHADEMA.

Nimependa ulivyo lieleza hili ya CHADEMA waachie chadema.. Ila ingekuwa vema sana kama hata ya CCM waangeachiwa CCM..

Kwa upande mwingine nadhani wao ama mleta uzi anajaribu kuanisha jinsi gani chadema ipo kama hivi ilivyo.. Ungejaribu kujibu hoja ingefaa zaidi kuliko kujitetea ulivyojitetea
 
Back
Top Bottom