Dkt. Wilbroad Slaa atumia lugha kali dhidi ya Rais Samia

Dkt. Wilbroad Slaa atumia lugha kali dhidi ya Rais Samia

Hakuna sehemu sheria za Nchi zimevunjwa kwenye hiyo statement Wana CCM wasimtishe Mtu.
Miaka mitatu tujifunze Katiba, nani kamwambia kuwa tunataka nishani?

CCM imeshashindwa kazi ndo maana anaokoteza okoteza sasa kwenye teuzi
 
Usalama wa taifa, tafuteni mtu anaewapa ugari hawa watu, wanashiba hadi wanavimbiwa.
Aambiwe kama anahela nyingi basi akafanyie shughli zingine, la sivyo asije akalalamika baadae. Apewe onyo kali.
Sio ugari ni ugali

Acheni hayo mambo ya kutisha watu kwani kuna baya gani limesemwa hapo zaidi ya ukweli?
 
Kuanzia apigwe na mwanamke hakuna mtu anayemsikiliza. Yaani umepigwa na Josephine Mushumbusi hadi kwenda kulala kwenye gari alafu unasimama na kuongea mbele za wanaume?
Kha? Kumbe alipigwa na mwanamke? Ni mkewe huyo aliyempiga?
 
Tatizo wananchi wanamuona rais mungu mtu, Trump raisi wa dunia alitukanwa sembuse sa100.
 
Kuanzia apigwe na mwanamke hakuna mtu anayemsikiliza. Yaani umepigwa na Josephine Mushumbusi hadi kwenda kulala kwenye gari alafu unasimama na kuongea mbele za wanaume?
“Great minds discuss ideas; average minds discuss events; small minds discuss people” - Eleanor Roosevelt
 
Msipende kuangalia upande mmoja tu kutukanwa kwa huyo aliyeshika hiyo nafasi ya urais bali pia muangali na huyo aliyeshika hiyo nafasi anaitukanisha hiyo nafasi, anayoyafanya Mtawala Samia yaweza kuwa na athari zaidi kwa hicho kiti cha urais na nchi kwa ujumla kuliko hata kumwita yeye Samia mpumbavu.

Stupid.
 
Naandika Rashda binti Zunde✍️

Watanzania amkeni, Watanzania amkeni tupinge watu kama hawa wanaotusi viongozi wa nchi hadharani. Tuungane kukemea vitendo kama hivi huu ni udharirishaji wa Rais wetu, huwezi kutoka hadharani kusema "hoja za rais ni za kipumbavu".

Wote tunajua kwamba Rais Samia Suluhu ameweka wazi dhamira yake ya kuhakikisha kwamba katiba mpya inapatikana na tayari mchakato umeanza, hivi awamu gani iliwasikiliza chadema kama sio hii ya Mama Samia ?

Mchakato wa Katiba si wa siku moja, serikali imeshaanza mchakato, mmeshirikishwa, na sasa ni kutoa elimu kwa wananchi jambo ambalo serikali tayari ilishaweka wazi kwamba zaidi ya 50% ya Watanzania hawajui kuhusu katiba hivyo ni lazima wapatiwe elimu.

Lazima kila Mtanzania aelewe nini kinaenda kufanyika na ndicho serikali inachofanya, sasa wewe Slaa unavyokuja kusema kwamba hoja za Rais Samia Suluhu ni za kipumbavu umekosea sana, ni dhahiri kwamba hujafuatilia nini kinaendelea umekurupuka.

#mamaanafanikisha uhuru wa maoni lakini sio kutoka hadharani kumtusi kiongozi wako wa nchi, Slaa kaa chini tafakari kabla ya kuzungumza mbele za watu. Unajidharirisha kila siku na ndio maana umevuliwa ubalozi sababu huna hadhi na hakuna balozi mwenye tabia kama zako.

Huyu mzee amekwisha ladha kabisa ya kumsikia. Muacheni aendelee kuropola labda ndiyo tiba ya matatizo yake ya sonona.

Ametaka upadri umemshinda, amemrudia Rose Kamili imeshindikana, amemuoa Mushumbushi na Mushumbushi kabakia ughaibuni. Huko CHADEMA hatakiwi na CCM sponsor wake alikufa.

Muache aendelee kuropoka ila yuko highly frustrated
 
Usalama wa taifa, tafuteni mtu anaewapa ugari hawa watu, wanashiba hadi wanavimbiwa.
Aambiwe kama anahela nyingi basi akafanyie shughli zingine, la sivyo asije akalalamika baadae. Apewe onyo kali.
Acheni kutisha watu,mnataka muambiwe kwa kubembelezwa?,hizo nyakati zilishapitwa na wakati
 
Msipende kuangalia upande mmoja tu kutukanwa kwa huyo aliyeshika hiyo nafasi ya urais bali pia muangali na huyo aliyeshika hiyo nafasi anaitukanisha hiyo nafasi, anayoyafanya Mtawala Samia yaweza kuwa na athari zaidi kwa hicho kiti cha urais na nchi kwa ujumla kuliko hata kumwita yeye Samia mpumbavu.

Stupid.
Inaitwa fake outrage isiyo na sense ya proportionality. Kesi ya uhaini yenye adhabu ya kunyongwa sawa, lugha kali kwa wakubwa ndio wanaona nongwa. Unaweza ukawa unafikiri watu ni wajinga wanadanganyika kumbe all along mjinga ni wewe
 
Slaa atakipata anachotafuta
Napata hasira sana na serikali yetu kuwafumbia hawa watu macho, hapa ndio namkumbuka JPM hawa leo wangekuwa history. Usiruhusu watu kutaka kuleta uchochezi kutuharibia amani ya nchi, tukosoane lakini kwa staha. Leo anakuja huyo Mwambukusi sijui anasema yuko tayari kupigania kwa lolote hata kufa utasema alizaliwa jana, huko nyuma alikuwa wapi? kwani haya mambo yameanza leo? Serikali ni wakati sasa wakupitisha maamuzi magumu kwa mustakabali wa nchi yetu, kuna watu hawataki amani nchi hii.
 
Back
Top Bottom