Dkt. Wilbroad Slaa atumia lugha kali dhidi ya Rais Samia

Dkt. Wilbroad Slaa atumia lugha kali dhidi ya Rais Samia

Usalama wa taifa, tafuteni mtu anaewapa ugari hawa watu, wanashiba hadi wanavimbiwa.
Aambiwe kama anahela nyingi basi akafanyie shughli zingine, la sivyo asije akalalamika baadae. Apewe onyo kali.
Usalama kama usalama
 
Viongozi waliochaguliwa na watu waliowaamini, wengine mliochagua upande wa pili hamna budi kwenda na flow tu ya CCM, mjiandae na next election ndio mkishinda mtaingiza sera zenu na CCM itabidi wawavumilie tu. Mkishindwa tena hakuna budi mvumile, wakati wa kuwajibisha viongozi ni wakati wa uchaguzi tu, wakipita wana haki ya kutekeleza waliyosema kwenye sera zao. Kukubaliana au kutokubaliana inakuwa sio issue tena.
Basi poa mkuu acha sie tusiowachague tuwakashifu na kuwatukana hao viongozi maana sisi sio tuliyowachague hivyo nao watuvumilie tu na nyie mliyowachagua endeleeni kuwasifia.
 
Mimi naona kumvua Dr Slaa ubalozi peke yake hautoshi wamvue na huo Udaktari basi kwa sababu kila analosema ni baya. Kama kuna mtu ana ripoti za utendaji kazi wa mabalozi kipindi cha JPM atuletee hapa tupime utendaji kazi wa Dr Slaa nchini Sweden na Scandinavian countries tuone. Kuna mabalozi wa sasa feki wapo huko ulaya hata mdomo hawawezi kuufungua
 
Kelele zote hizi anatafuta anyamazishwe na cheo kingine, mara hii anajisumbua tu.
 
Tanzania sio Marekani Kila Nchi Ina maadili yake
Maadili ya wapi hali ya kuwa dini zote hizizimetoka kwao, mifumo ya kiuongozi ni wao, demokrasia tumetoa kwao na wao wanatuonyesha nini maana ya demokrasia, sasa hayo maadili unayozungumzia sijui ni yapi.
 
bi tozo hajui kila kituu
slaa ameongea ukweli
 
Inategemea unamwambia nani?

Kwani Rais Samia anajua kila kitu? Kama hajui kila kitu akiitwa MPUMBAVU sio tusi!! Ataendelea kuitwa MPUMBAVU , kama haelimiki hata akifundishwa basi ndio atahitimu na kuitwa MJINGA!!
 
Naandika Rashda binti Zunde✍️

Watanzania amkeni, Watanzania amkeni tupinge watu kama hawa wanaotusi viongozi wa nchi hadharani. Tuungane kukemea vitendo kama hivi huu ni udharirishaji wa Rais wetu, huwezi kutoka hadharani kusema "hoja za rais ni za kipumbavu".

Wote tunajua kwamba Rais Samia Suluhu ameweka wazi dhamira yake ya kuhakikisha kwamba katiba mpya inapatikana na tayari mchakato umeanza, hivi awamu gani iliwasikiliza chadema kama sio hii ya Mama Samia ?

Mchakato wa Katiba si wa siku moja, serikali imeshaanza mchakato, mmeshirikishwa, na sasa ni kutoa elimu kwa wananchi jambo ambalo serikali tayari ilishaweka wazi kwamba zaidi ya 50% ya Watanzania hawajui kuhusu katiba hivyo ni lazima wapatiwe elimu.

Lazima kila Mtanzania aelewe nini kinaenda kufanyika na ndicho serikali inachofanya, sasa wewe Slaa unavyokuja kusema kwamba hoja za Rais Samia Suluhu ni za kipumbavu umekosea sana, ni dhahiri kwamba hujafuatilia nini kinaendelea umekurupuka.

#mamaanafanikisha uhuru wa maoni lakini sio kutoka hadharani kumtusi kiongozi wako wa nchi, Slaa kaa chini tafakari kabla ya kuzungumza mbele za watu. Unajidharirisha kila siku na ndio maana umevuliwa ubalozi sababu huna hadhi na hakuna balozi mwenye tabia kama zako.

Kwani Slaa kakosea?
 
Upumbavu sio tusi..

Bi. Tozo ni mtu wa kawaida kama sisi ukitoa huo urais.
Sisi ndio waajiri wake lazima akosolewe mambo yakienda mrama.

Sent from my SM-G975U using JamiiForums mobile app
Sasa Samia hataki ushauri kwa mambo asiyoyajua kwanini asiitwe MPUMBAVU? Mtu yeyote asiyejua maana ya mpumbavu ndio atatafsiri kuwa hilo neno ni tusi!! Machawa mna kazi kweli kweli!
 
Mkuu, unaweza kumwambia baba yako mdogo, shangazi, au mama mkubwa. aache upumbavu, hata kama katereza mahara fulani?
Na katika maisha yako ulishawahi kufanya hivyo?
Ndiyo.

After all sidhani kama yule waziri mpumbavu na mjinga Ndumbaro na boss wake Mama Samia Suluhu Hassan ni shangazie au baba mdogo au Mama mkubwa wa Dr Slaa..!!

By the way unaujua umri wa Dr Slaa wewe? In case hujui ni kuwa, he's almost 78 na Ndumbaro is just 50yrs na boss wake (Samia) is just 62yrs old..

That's means hawa ni watoto au wadogo zake Dr Slaa kwa mbali sana.

Na kwa hiyo kwa kufanya kwao mambo ya kijinga na kipumbavu na wakaitwa wapumbavu na baba au kaka yao Dr Slaa, ni halali na wanachotakiwa kufanya ni kuacha tu upumbavu wao, basi..!

Una swali la ziada?
 
Slaa atakipata anachotafuta
Jibuni hoja kwanini mnadhani mama Abdul anajua kila kitu hivyo sio MPUMBAVU badala ya kutoa povu lenu bure nyie MACHAWA na kuwatishia WATANGANYIKA! Mnatuibia hela za kodi zetu huku Tanaganyika kwenda kujega kwenu KIZIMKAZI kushindana na marehemu Magufuli!!
 
Badala ya kujipambania unataka na wengine tujikite kwenye kumpambania mtu ?, Ningekuelewa ungesema tupambanie nchi na kwa muktadha huo huenda kuungana na hao wanaopinga ndio tutakuwa tunapambania nchi (sababu sio wachache wasemao tunapokwenda sipo) - hivyo nao wasikilizwe na sio kuwaziba midomo
 
Usalam
Usalama wa taifa, tafuteni mtu anaewapa ugari hawa watu, wanashiba hadi wanavimbiwa.
Aambiwe kama anahela nyingi basi akafanyie shughli zingine, la sivyo asije akalalamika baadae. Apewe onyo kali.
Usalam wa taifa ndio Mungu wako..baada ya kushindwa hoja eti usalama!! idiot
 
Jibuni hoja kwanini mnadhani mama Abdul anajua kila kitu hivyo sio MPUMBAVU badala ya kutoa povu lenu bure nyie MACHAWA na kuwatishia WATANGANYIKA! Mnatuibia hela za kodi zetu huku Tanaganyika kwenda kujega kwenu KIZIMKAZI kushindana na marehemu Magufuli!!
Mchana uliuona?
 
Back
Top Bottom