inamankusweke
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 20,771
- 22,579
Anatafuta pa kufiaHahahahahahahahahahahahahahahahaha......
Kazee haka kama kamebwia ugoro...tabu sana.
Hahahahahahahahahahahahahaha......
Anatafuta pa kufiaHahahahahahahahahahahahahahahahaha......
Kazee haka kama kamebwia ugoro...tabu sana.
Hahahahahahahahahahahahahaha......
Wewe ni hovyo kabisa Gabon is loading.......Naandika Rashda binti Zunde[emoji3578]
Watanzania amkeni, Watanzania amkeni tupinge watu kama hawa wanaotusi viongozi wa nchi hadharani. Tuungane kukemea vitendo kama hivi huu ni udharirishaji wa Rais wetu, huwezi kutoka hadharani kusema "hoja za rais ni za kipumbavu".
Wote tunajua kwamba Rais Samia Suluhu ameweka wazi dhamira yake ya kuhakikisha kwamba katiba mpya inapatikana na tayari mchakato umeanza, hivi awamu gani iliwasikiliza chadema kama sio hii ya Mama Samia ?
Mchakato wa Katiba si wa siku moja, serikali imeshaanza mchakato, mmeshirikishwa, na sasa ni kutoa elimu kwa wananchi jambo ambalo serikali tayari ilishaweka wazi kwamba zaidi ya 50% ya Watanzania hawajui kuhusu katiba hivyo ni lazima wapatiwe elimu.
Lazima kila Mtanzania aelewe nini kinaenda kufanyika na ndicho serikali inachofanya, sasa wewe Slaa unavyokuja kusema kwamba hoja za Rais Samia Suluhu ni za kipumbavu umekosea sana, ni dhahiri kwamba hujafuatilia nini kinaendelea umekurupuka.
#mamaanafanikisha uhuru wa maoni lakini sio kutoka hadharani kumtusi kiongozi wako wa nchi, Slaa kaa chini tafakari kabla ya kuzungumza mbele za watu. Unajidharirisha kila siku na ndio maana umevuliwa ubalozi sababu huna hadhi na hakuna balozi mwenye tabia kama zako.
kila mtu na mawazo yake na akili yake,ni upumbavu uliokithiri kila mtu kutumua mawazo yako ya kijinga.
Neno mpumbavu sio tusi hata Hayati Mkapa alilitumia sana tuUpumbavu siyo tusi.
Mpumbavu ni mtu asiyefundishika, akifundishwa anatenda tofauti na alivyofundishwa.
Kwani hii nchi ina Amani we kiazi?Napata hasira sana na serikali yetu kuwafumbia hawa watu macho, hapa ndio namkumbuka JPM hawa leo wangekuwa history. Usiruhusu watu kutaka kuleta uchochezi kutuharibia amani ya nchi, tukosoane lakini kwa staha. Leo anakuja huyo Mwambukusi sijui anasema yuko tayari kupigania kwa lolote hata kufa utasema alizaliwa jana, huko nyuma alikuwa wapi? kwani haya mambo yameanza leo? Serikali ni wakati sasa wakupitisha maamuzi magumu kwa mustakabali wa nchi yetu, kuna watu hawataki amani nchi hii.
Aongee Ndumbaro uje kumtukana RaisInaitwa fake outrage isiyo na sense ya proportionality. Kesi ya uhaini yenye adhabu ya kunyongwa sawa, lugha kali kwa wakubwa ndio wanaona nongwa. Unaweza ukawa unafikiri watu ni wajinga wanadanganyika kumbe all along mjinga ni wewe
Achana na uyo kimaKwani hii nchi ina Amani we kiazi?
Unawashwa sio bureHuyu ni wa kuchinja mpaka afe
Ungemuuliza Mama yako hilo swali sio mimi.Kwani hii nchi ina Amani we kiazi?
Ndumbaro aliongea maneno yake,Rais anaitwaje mpumbavu?Neno mpumbavu sio tusi hata Hayati Mkapa alilitumia sana tu
Mpumbavu mkubwa weweKaongea Point Tupu 👏
apewe ulinzi tafadhali
😀😀😀😀Si muachane naye, yanini kumfuatilia neno kwa neno ?
Vunjeni huo mkataba wa bandari muone kama kuna mtu ataongea maneno magumu.
Wewe ni mpumbavu?Inaitwa fake outrage isiyo na sense ya proportionality. Kesi ya uhaini yenye adhabu ya kunyongwa sawa, lugha kali kwa wakubwa ndio wanaona nongwa. Unaweza ukawa unafikiri watu ni wajinga wanadanganyika kumbe all along mjinga ni wewe
Kumbuka siku yakwenda kumuuga tu kwenye jeneza lake na livile lina sura mbaya siku likifa itakuwa picha ya kutisha.Unawashwa sio bure
Aliyekwambia hivyo ni Rais Samia?Freedom of speech and expression ni haki yake "Dokta Cassava".
Ni dharau kubwa kutuambia sisi Wananchi tujifunze Katiba ya 77 kwa muda wa miaka mitatu
Amesema Kwa muktadha wa maneno yake Ali mrefer RaisAngalau hajasema Rais ni mpumbavu
HUNA AKILIMpumbavu mkubwa wewe
Tanzania sio Marekani Kila Nchi Ina maadili yakeTatizo wananchi wanamuona rais mungu mtu, Trump raisi wa dunia alitukanwa sembuse sa100.