dyuteromaikota
JF-Expert Member
- Apr 30, 2013
- 5,907
- 8,246
Siwezi kupoteza muda wangu kumsikiliza, bora niende mahakamani nione the foma arasii akiwa anapandishwa kizimbani
TBC!!!😆🤨Tarehe 3/12/2021 siku ya ijumaa, lile gwiji la siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka 20 litakuwa linafanya mahojiano katika televisheni ya taifa TBC chii ya gwiji lingine la habari yaani Khalidi Gangana.
Pamoja na mambo mengine atakuwa akitambulisha kitabu chake.
Itakumbukwa vizuri kuwa toka Dk Slaa aondoke Chadema, hamna kitu chochote kilichowahi kufanyika Chadema kikafanikiwa, pamoja na mambo mengine toka Slaa aondoke Chadema chama kimepoteza wabunge wote wa kuchaguliwa isipokuwa mbunge mmoja tu, hamna hata maandamano hata moja lililowahi kufanikwa.
Majirani zangu hapa uswahili leo hii walikuwa juu ya mabati wakijaribu kurekebisha madishi yao na antena hili kuhakikisha wanapata matangazo kwa uhakika siku ya ijumaa.
Kweli jukwaa la siasa lilimmiss sana Dk.
Hivi amerudishwa?Hawa walinunuliwa kipindi cha uchafuzi mkuu, mmoja akakimbilia rwanda na huyu akakimbilia canada kufanya kazi kwenye supermarket.........interestingly wote wamerudi baada ya kupigwa njaa, bongolala kuna visa sana.......
Anasimamishaje NCHI sasa 🤣🤣🤣🤣! Ilikua and not anymore!!!Tarehe 3/12/2021 siku ya Ijumaa, lile gwiji la siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka 20 litakuwa linafanya mahojiano katika televisheni ya taifa TBC chii ya gwiji lingine la habari yaani Khalidi Gangana.
Pamoja na mambo mengine atakuwa akitambulisha kitabu chake.
Itakumbukwa vizuri kuwa toka Dk Slaa aondoke Chadema, hamna kitu chochote kilichowahi kufanyika Chadema kikafanikiwa, pamoja na mambo mengine toka Slaa aondoke Chadema chama kimepoteza wabunge wote wa kuchaguliwa isipokuwa mbunge mmoja tu, hamna hata maandamano hata moja lililowahi kufanikwa.
Majirani zangu hapa uswahili leo hii walikuwa juu ya mabati wakijaribu kurekebisha madishi yao na antena hili kuhakikisha wanapata matangazo kwa uhakika siku ya ijumaa.
Kweli jukwaa la siasa lilimmiss sana Dk.
Huyu jamaa akianzisha chama najiunga mwili mzimaTarehe 3/12/2021 siku ya Ijumaa, lile gwiji la siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka 20 litakuwa linafanya mahojiano katika televisheni ya taifa TBC chii ya gwiji lingine la habari yaani Khalidi Gangana.
Pamoja na mambo mengine atakuwa akitambulisha kitabu chake.
Itakumbukwa vizuri kuwa toka Dk Slaa aondoke Chadema, hamna kitu chochote kilichowahi kufanyika Chadema kikafanikiwa, pamoja na mambo mengine toka Slaa aondoke Chadema chama kimepoteza wabunge wote wa kuchaguliwa isipokuwa mbunge mmoja tu, hamna hata maandamano hata moja lililowahi kufanikwa.
Majirani zangu hapa uswahili leo hii walikuwa juu ya mabati wakijaribu kurekebisha madishi yao na antena hili kuhakikisha wanapata matangazo kwa uhakika siku ya ijumaa.
Kweli jukwaa la siasa lilimmiss sana Dk.
Hakusimamaisha nchi kipindi kile cha kutenganisha choo na sebure itakuwa leo, atuache watanzania - zilipendwaaa !!Tarehe 3/12/2021 siku ya Ijumaa, lile gwiji la siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka 20 litakuwa linafanya mahojiano katika televisheni ya taifa TBC chii ya gwiji lingine la habari yaani Khalidi Gangana.
Pamoja na mambo mengine atakuwa akitambulisha kitabu chake.
Itakumbukwa vizuri kuwa toka Dk Slaa aondoke Chadema, hamna kitu chochote kilichowahi kufanyika Chadema kikafanikiwa, pamoja na mambo mengine toka Slaa aondoke Chadema chama kimepoteza wabunge wote wa kuchaguliwa isipokuwa mbunge mmoja tu, hamna hata maandamano hata moja lililowahi kufanikwa.
Majirani zangu hapa uswahili leo hii walikuwa juu ya mabati wakijaribu kurekebisha madishi yao na antena hili kuhakikisha wanapata matangazo kwa uhakika siku ya ijumaa.
Kweli jukwaa la siasa lilimmiss sana Dk.
CCM imeshawaanzishia chama tunangoja puppet showNimeota huyo Slaa ni kati ya team mkakati ya Umoja party kwa ajili ya 2025
Hivi bado kuna wenye akili timamu bado wanapoteza muda kuangalia tbccm?Tarehe 3/12/2021 siku ya Ijumaa, lile gwiji la siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka 20 litakuwa linafanya mahojiano katika televisheni ya taifa TBC chii ya gwiji lingine la habari yaani Khalidi Gangana.
Pamoja na mambo mengine atakuwa akitambulisha kitabu chake.
Itakumbukwa vizuri kuwa toka Dk Slaa aondoke Chadema, hamna kitu chochote kilichowahi kufanyika Chadema kikafanikiwa, pamoja na mambo mengine toka Slaa aondoke Chadema chama kimepoteza wabunge wote wa kuchaguliwa isipokuwa mbunge mmoja tu, hamna hata maandamano hata moja lililowahi kufanikwa.
Majirani zangu hapa uswahili leo hii walikuwa juu ya mabati wakijaribu kurekebisha madishi yao na antena hili kuhakikisha wanapata matangazo kwa uhakika siku ya ijumaa.
Kweli jukwaa la siasa lilimmiss sana Dk.
Ukitaka kujua ukweli; Waache wananchi wapige kura, waache wananchi ndio wachague.Baada ya Dr Slaa kuondoka kimebaki chama kinachotumia mbinu na propaganda za;
Alafu utegemee chama hiki kipendwe na wananchi! Thubutuu, kitaungwa mkono na UE na Western powers wanaotanguliza interest za nchi zao kwa kutumia mgongo wa vitu kama “haki za binadamu”
- Ugaidi,
- Usaliti kwa kuungana na mabeberu wanyonyaji
- Kupinga mazuri yote maradi yanafanywa na serikali ya CCM
- Mbinu chafu za uuaji na kujificha
- Kiongozi moja kujenga taasisi binafsi ndani ya chama badala ya kujenga chama
- Kiongozi huyo kutumia pesa za chama kulipa wapambe wanaoshinda kwenye mitandao ya kijamii kumpamba! Angalia hapa JF!
- Kupinga na hata kuhujumu maendeleo kisa tu yamefanywa na serikali ya CCM
Eti TBCTarehe 3/12/2021 siku ya Ijumaa, lile gwiji la siasa za upinzani kwa zaidi ya miaka 20 litakuwa linafanya mahojiano katika televisheni ya taifa TBC chii ya gwiji lingine la habari yaani Khalidi Gangana.
Pamoja na mambo mengine atakuwa akitambulisha kitabu chake.
Itakumbukwa vizuri kuwa toka Dk Slaa aondoke Chadema, hamna kitu chochote kilichowahi kufanyika Chadema kikafanikiwa, pamoja na mambo mengine toka Slaa aondoke Chadema chama kimepoteza wabunge wote wa kuchaguliwa isipokuwa mbunge mmoja tu, hamna hata maandamano hata moja lililowahi kufanikwa.
Majirani zangu hapa uswahili leo hii walikuwa juu ya mabati wakijaribu kurekebisha madishi yao na antena hili kuhakikisha wanapata matangazo kwa uhakika siku ya ijumaa.
Kweli jukwaa la siasa lilimmiss sana Dk.
Muulize mbowe bosi wake!Kwahiyo unamaanisha familia ya Ben saa nane wanampenda mwenda zake