Baraka Mina
JF-Expert Member
- Sep 3, 2020
- 581
- 574
Makamu Mwenyekiti wa CCM Zanzibar Ndg. Ali Mohamed Shein leo Juni 19, 2021 ameongoza kikao cha Kamati Maalum ya Halmashauri Kuu ya CCM Taifa kilichofanyika katika Afisi Kuu ya CCM Kiswandui
Kikao hicho kilihudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndg. Hussein Ali H. Mwinyi, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Ndg. Hemed Suleiman Abdulla, Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Ndg. Abdullla Juma Saadala (Mabodi), viongozi na wajumbe mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi.
#KaziIendele
#ChamaImaraSerikaliImara
Kikao hicho kilihudhuriwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Ndg. Hussein Ali H. Mwinyi, Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Ndg. Hemed Suleiman Abdulla, Naibu Katibu Mkuu CCM Zanzibar Ndg. Abdullla Juma Saadala (Mabodi), viongozi na wajumbe mbalimbali wa Chama Cha Mapinduzi.
#KaziIendele
#ChamaImaraSerikaliImara