Uzalendo wa Kitanzania
JF-Expert Member
- Mar 8, 2020
- 2,207
- 4,703
Wadau wa JF
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdory Mpango atakuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)
Mkutano huo mkuu utafanyika siku ya Jumapili Juni 27,2021 Mkoani Tanga
Taarifa imetolewa na Katibu Mkuu wa BAKWATA
Alhaji Nuhu Nurdini
Makamo wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt Philip Isdory Mpango atakuwa mgeni rasmi kwenye ufunguzi wa Mkutano Mkuu wa Baraza Kuu la Waislamu Tanzania (BAKWATA)
Mkutano huo mkuu utafanyika siku ya Jumapili Juni 27,2021 Mkoani Tanga
Taarifa imetolewa na Katibu Mkuu wa BAKWATA
Alhaji Nuhu Nurdini