Dkt. Philip Mpango leo kaongea kama mkuu wa Nchi

Dkt. Philip Mpango leo kaongea kama mkuu wa Nchi

jitombashisho

JF-Expert Member
Joined
Jun 11, 2020
Posts
651
Reaction score
2,245
Nimejiuliza sana,

Akiongea mbele ya hadhira ya mashahidi wa kiapo pale Ikulu Chamwino makamu wa Rais wa Jamhuri ya Tanzania daktari Isdory Mpango pamoja na kutoa maagizo mbalimbali kwa wateule na watendaji wa Serikali lakini ni dhahiri ameongea kama yeye ndiye mkuu wa Nchi.

'Nataka kufika Disemba wizara ya fedha hakikisheni mapato yanafikia trilioni mbili' amesema Daktari Isdory.

Aliendelea kusema; 'nitawafuatilia kwa umakini mkubwa hasa watendaji wazembe na nitapobaini haraka sana nitarejea kwa mama na kumweleza yule hatufai na tutakubadilisha mara moja!'

Hoja hapa kwa sababu gani Daktari Isdory ameonyesha kuongea kwa kujiamini namna ile mbele ya mamlaka yake kama vile yeye ndiye mamlaka ya mwisho?!
 
Kama ulisikiliza Jana kauli ya rais mama Samia suluhu Hassan usingeshangaa hata kidogo kauli ya makam wa rais Dr mpango.. Jana 31/4/2021 Rais ktk hotuba yake alitoa agizo kwa Dr mpango kwenda kusimamia hali ya uchumi na mapato ya serikali.. Leo 1/4/2021 Dr mpango anatimiza majukumu yake ya kikazi aliyopangiwa... Kwa kuanza na mwigulu nchemba kumpa maagizo ili kazi ianze Mara moja..
 
Wahutu wa Rwanda, watamtumia Dr Mpango ili kukamilisha "Mpango" wao wa kurudi Rwanda iwapo Mpango atakuja kuwa Raisi.
 
Do you know the meaning of delegation of power na mandate? Alikuwa anawapa message doubting Thomas .
 
Back
Top Bottom