Dkt. Nchimbi: Mimi ni mtu wa misimamo, Utamaduni wa CCM unajulikana Rais anahudumu awamu 2 nawaambieni Mapema kabisa!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
84,013
142,046
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa

Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi

Mungu mbariki Dr Nchimbi
 
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa

Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi

Mungu mbariki Dr Nchimbi
Inaonekana ndani ya Ccm kuna upinzani mkubwa dhidi ya Dr Samia kuzidi ule wa Membe dhidi ya Magufuli.

Yaani kila move anayochukua Mwenyekiti wa CCM Taifa inalenga ku secure kiti chake.

This time wanamkimbiza Mwizi kimya kimya.
 
IMG_7967.jpg
 
Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa

Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi

Mungu mbariki Dr Nchimbi
Hata awe mbovu kama huyu lakini lazima apige term 2? hovyo kabisa
 
Back
Top Bottom