Burkinabe
JF-Expert Member
- Feb 12, 2023
- 1,924
- 3,236
Rais mwenyewe wa kuhudumu awamu 2 yuko wapi?!Katibu Mkuu wa CCM Dr Nchimbi amesema yeye anajulikana kwa misimamo yake na kama hawapendi misimamo basi wamuondoe tu mapema kabisa
Utamaduni wa CCM ni Rais wa JMT kuhudumu kwa Mihula miwili hivyo nawaambieni Mapema kabisa tusije kuzinguana huko mbele ya safari, amesisitiza Dr Nchimbi
Mungu mbariki Dr Nchimbi