johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 84,034
- 142,095
Katibu Mkuu wa CCM Dkt. Nchimbi amesema yeye anapenda kuongea na Kuwasikiliza Watu wenye akili
Nchimbi amesema hayo wakati akielezea jinsi Mwanasayansi nguli Dr Bilal alivyomfata Ili amuunge mkono kugombea uRais wa Zanzibar
Kiukweli Hoja za Dkt. Bilal zilikuwa na mashiko Lakini nilimkumbusha kuwa pamoja na uzuri wa Hoja zake Utamaduni na utaratibu wa CCM unaeleweka kwamba Rais Karume Mihula yake ni miwili na wakati huo alikuwa ndio ametumikia muhula wa kwanza, amesema Nchimbi
Wakati huo nilikuwa mwenyekiti wa UVCCM
Mlale unono 😀
Nchimbi amesema hayo wakati akielezea jinsi Mwanasayansi nguli Dr Bilal alivyomfata Ili amuunge mkono kugombea uRais wa Zanzibar
Kiukweli Hoja za Dkt. Bilal zilikuwa na mashiko Lakini nilimkumbusha kuwa pamoja na uzuri wa Hoja zake Utamaduni na utaratibu wa CCM unaeleweka kwamba Rais Karume Mihula yake ni miwili na wakati huo alikuwa ndio ametumikia muhula wa kwanza, amesema Nchimbi
Wakati huo nilikuwa mwenyekiti wa UVCCM
Mlale unono 😀