Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

Dkt. Nchimbi hachunguziki CCM

Ipy alifariki siku moja baada ya kushinda uwenyekiti uvccm Dar.
Alisoma Highlands Iringa akiwa mcheza basketball mzuri
Kabla ya kifo chake kaka yake alikufa kwa ajali akiwa mwaka wa kwanza Ud,na dada yake Cath pia.
Alikuwa anajiandaa kwenda kwenye party Leaders,akawaacha wenzake chini nyumbani kwake akapanda ghorofani kubadilisha nguo,akashuka maiti...
Ukichanganya na mke wake yule ina maana kwenye familia mzee amesha zika watu 6 🫢
 
Ipy alifariki siku moja baada ya kushinda uwenyekiti uvccm Dar.
Alisoma Highlands Iringa akiwa mcheza basketball mzuri
Kabla ya kifo chake kaka yake alikufa kwa ajali akiwa mwaka wa kwanza Ud,na dada yake Cath pia.
Alikuwa anajiandaa kwenda kwenye party Leaders,akawaacha wenzake chini nyumbani kwake akapanda ghorofani kubadilisha nguo,akashuka maiti...
Dah! Watoto wa Mzee wamefariki wengi. Si ndio pamoja na Le Mutuz na yule dada aliwahi kua Mkurugenzi wa NIMR?
 
Mengi ya kusimulia ila machache ni kumbukumbu yenye kuvutia ,tuko tunapambana na wana akina Nel na Sydon kuweka sawa mambo ya mziki ,eti kusherekea sherehe ya Ipy ameshinda uenyekiti ,ghafla bin vuu mwanetu kitunda anatokea Tandika na tax lake la blue ameikimbiza kuelekea tulipo .

Mimi kama dogo kwa wote nasikilizia wakubwa wanasema nini juu ya mwendo wa braza Kitunda ,Hemedi picha anasema mwanenu kashalewa ukiona hivyo .

Isivyo tarajiwa anashuka akiwa wima mithiri ya afande baba sharifu hapepesi macho wala kuyumbisha mwili ila anasema dili limebuma ,mwanetu kashakula mchanga huko 😪 ,hakuna anayeamini kila mtu anatoa macho kama mjusi aliyabanwa na mlango .

Baraza kide anatuambia tupande kwenye rover lake twende kwa Ipy tuhakiki hyo maneno ,kufika huko the rest ni history ya huzuni tu .

Keep resting Ipyana A.K.A Ipy ,keep resting kaka mkubwa Lemutuz ,ikiwa kuna kukutana tutakuna tena .🥲
 
Back
Top Bottom