Kikwete nae akamrisisha jimbo mwanae!!Na usishangaye huyo dada akaja kurithi Jimbo kweli. Maana majimbo yashageuka kuwa falme za watu. Wadanganyika amkeni.
Imetokea sehemu nyingi
-Samweli Sitta kamruthisha mkewe
-Profesa nani nani huko Iringa aliwahi kuwa waziri wa fedha alipofariki mtoto kapewa Jimbo
Na wengine wengi