Dkt. Mwigulu Nchemba amtangaza mrithi wake jimboni

Akiongea kwa lugha ya kwetu KiNyiramba bila hata ya aibu Mhe. Mwigulu Nchemba huku akimshika mdada wa watu kamtangaza kuwa huyo mdada aanze kufikiriwa fikiriwa na Wanajimbo katika nafasi. Pamoja na kutotaja nafasi hiyo lkn ishara inaonesha ni nafasi ya Ubunge Mwaka 2030 wakati yeye akigombea URais.

View attachment 2112131
Huyu dada namjua niliwahi kumwona Ilala ni Mjasiriamali , akipeewa anafaa kuliko hata Mwigulu mwenyewe
 
Akiongea kwa lugha ya kwetu KiNyiramba bila hata ya aibu Mhe. Mwigulu Nchemba huku akimshika mdada wa watu kamtangaza kuwa huyo mdada aanze kufikiriwa fikiriwa na Wanajimbo katika nafasi. Pamoja na kutotaja nafasi hiyo lkn ishara inaonesha ni nafasi ya Ubunge Mwaka 2030 wakati yeye akigombea URais.
View attachment 2112131
Ulitaka aone aibu kuongea lugha yake ya kuzaliwa? Wewe huwa unaona aibu kuongea lugha yako ya kuzaliwa? Kwa nini?
 
Ulitaka aone aibu kuongea lugha yake ya kuzaliwa? Wewe huwa unaona aibu kuongea lugha yako ya kuzaliwa? Kwa nini?
Mleta uzi yupo sahihi - kwenye mikutano ya kisiasa kama hiyo hupaswi kuongea kilugha kwani unaweza kuleta tafsiri unausema vibaya uongozi wa juu yako! Kuwa makini!
 
Back
Top Bottom