sikutaka kueleza kiundani,kwa nn alitumwa kule ,nn kilimkuta akiwa live na idd Amin,alikaa siku 5 akiwa bado huko Uganda .ni stor ndefu ,nimefupisha tu mkuu.kwenda kwa hasimu wako ambae mmekamiana kivita ,na ukamfanya adui akufurahie na kukupokea na kukuzungusha mjini mkiwa wawil tu na walinzi wachache ,halafu akushushe hadharani na kukukubali mbele ya raia wake,sio kitu kidogo. unaambiwa Amin alipokuwa na malecela ikulu kwake ,alimuimba watoke yy na malecela tu,John alijua jamaa anakwenda kumaliza kazi,Amin aliwasha gari ikagoma kuwaka,akachukua ya pil ikagoma pia ,hapo John alishukuru izmegoma,lkn ghafra mlinzi akasogeza nyingine ikakubali kuwaka wakaondoka .Kwahiyo kurud salama ndio akawa jasus mbobezi?? Wabongo wakikupenda aisee vyeo vyote watakupa
mm mwenyewe adui yangu ,akifeli najiskiaga burudani!!Pole mzee Malecela. Ila huyu mzee alimmaindigi Lowasa akiwa kijana baada ya kumuibia kwenye deal walifanya kadhia iyo akaiweka moyoni hadi kijana wake naye lemutuz alikuwa nayo chuki kwa Lowasa.
Lowasa alipokuwa anataka kuwa rais kwa udi na mzee John aliiapa atapigana Don asichukue nchi.
July 2015 alikatisha kabisa matibabu yake nje faster nakurudi Bongo alipofika JNIA akaonganisha faster Dodoma eti alichodai kwenda kuongeza nguvu Lowasa kukatwa na kuchinjiwa baharini. Hakuna mtu Tanzania aliyfurahi Lowasa kukatwa jina lake july 2015 kama mzee
Simulizi kutoka vijiwe vya umbea vya wanavitengo waliostaaf
R.IP Mwele
Bila shaka usichana wake ulishatokomea pasipojulikana kitaaaaambo,huyo ni mwanankeeeHeading na content haziendani, shida ipo wapi msichana?
Kwenye tasnia gani?????Sifa nyingine za Mzee Sigwemisi ni graduate wa Cambridge, moja ya vyuo vikuu vichache bora duniani.
Umuuombee afya njema .Mwele alikuwa ni mwajiriwa, amefariki akiwa katika kituo chake cha kazi!! Hapo mwajiri ndiye anawajibika kusafirisha na gharama za maziko. Raha ya kuajiriwa
Kurudisha mwili wa binti yake unamaanisha kumfufua au kumsafirisha? Hueleweki. Kichwa Mchina body Mrangi.Dr mwele ametangulia kwa Mungu ila amemuacha baba ake hapa duniani .Wanasema usiombe mzazi azike mtoto .Mzee malecela alikuwa na Mtoto wake Dr mwele mpaka alipofariki .Mungu akiamua ameamua .Amen
Sifa nyingine za Mzee Sigwemisi ni graduate wa Cambridge, moja ya vyuo vikuu vichache bora duniani.
EasyUmekoroga mi nikakuchanganya! Title umeandika kingine na story kingine!! Nimekujibu title si story...!!
Ulikuwepo Mke wake wa kwanza alipokufa ?Dr mwele ametangulia kwa Mungu ila amemuacha baba ake hapa duniani .Wanasema usiombe mzazi azike mtoto .Mzee malecela alikuwa na Mtoto wake Dr mwele mpaka alipofariki .Mungu akiamua ameamua .Amen
Mhh...Malechela yupo Dar anasuniri mwili,na alisema,mwenyewe kuwa waliopo hiko ni wanawe ....na akaeleza,kuwa wanapigiana simu na WHO ,Geneva ,kuhusu taratibu ...au Sea View siku hizi ipo Geneva!?Dr mwele ametangulia kwa Mungu ila amemuacha baba ake hapa duniani .Wanasema usiombe mzazi azike mtoto .Mzee malecela alikuwa na Mtoto wake Dr mwele mpaka alipofariki .Mungu akiamua ameamua .Amen
Kweli awamu ya kwanza na ya nne zilijua kubinya fikra za watanzania na kujiona wao ni miungu.pole zimuendee huyu mkongwe na gwiji la siasa hapa nchini,ni jasusi mbobezi haswa ,membe hatii mguu. kabla ya Vita kuanza ,vuguvugu lilikuwa ndo limewaka Moto,idd Amin alimpaga Salam mwal.kuwa atamchapa risasi live , kiongozi yeyote wa tz atakayejipendekeza kupeleka pua yake Uganda,Sasa bana mwal. akamtumaga mzee malecela aende Uganda kwa Amin ,ajaribu kuongea na Amin aache chokochoko,mzee John alienda ,na kurudi salama.
Ukifahamu itakusadia nini? Wacha umbea wewe ni wa KiumeNilitaka kuuliza kama anafamilia, naona MC paskali umejibu.
Kaacha watoto? Mume bado walikuwa wote?
R.I.P Dr. Mwele.
Kwanini unasema hivi? Huyu si alikataliwa na NyereereHata yeye ni Mzee mwenye akili sana, ukimuondoa Nyerere Malecela ni mtu ninayemkubali sana,
Ni yeye na SAS Ndio walifaa sana kuwa Marais wa Tanzania baada ya Nyerere.
Ngoja Pascal Mayalla atupe ufafanuzi. Ninachokumbuka ni kwamba le mutuz alikuwa upande wa lowasa. Alipokatwa akalaum saana kisha baadae akaanza kumsapot the late maguPole mzee Malecela. Ila huyu mzee alimmaindigi Lowasa akiwa kijana baada ya kumuibia kwenye deal walifanya kadhia iyo akaiweka moyoni hadi kijana wake naye lemutuz alikuwa nayo chuki kwa Lowasa...