TANZIA Dkt. Mwele Ntuli Malecela afariki Dunia, aligombea Urais wa JMT 2015

Mwaikibaki

JF-Expert Member
Mar 19, 2015
2,975
3,623
IMG_20220210_193855_581.png
Mwele Ntuli Malecela (alizaliwa tarehe 26 Machi 1963) alikuwa mkurugenzi wa taasisi ya tafiti za kiafya Tanzania (NIMRI).

Aliwania nafasi ya mgombea wa uraisi kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM) katika uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.

Kuanzia Aprili 2017 Mwele Malecela amekua akifanya kazi na Shirika la Afya Duniani (WHO) upande wa Afrika kama msimamizi wa maswala ya utawala, sera na ushauri wa kidiplomasia.

Zaidi kuhusu Dkt. Mwele Ntuli Malecela soma

Mwele Ntuli Malecela (March 26, 1963 – February 10, 2022) was a senior United Nations civil servant and the director of the Department of Control of Neglected Tropical Diseases at the World Health Organization Headquarters in Geneva, Switzerland.

Dr Mwele Ntuli Malecela Early life
Her father, John Malecela, held several senior political positions in Tanzania, including those of Prime Minister and First Vice-President, Minister of Foreign Affairs, Permanent Representative to the United Nations and High Commissioner to the United Kingdom.

Dr Mwele Ntuli Malecela Scientific and international career
Following her graduating in Zoology at the University of Dar es Salaam,[1] she joined the National Institute for Medical Research (NIMR) in 1987, where she worked at the Amani Center to conduct research on lymphatic filariasis. Following this, she continued her education at the London School of Hygiene & Tropical Medicine, where she completed her MSc (1990) and PhD (1995).

She continued her research at NIMR thereafter, and became Director of Research Coordination and Promotion (DRCP) in 1998 before moving on to become the Director of the Lymphatic Filariasis program in 2000, which is now functional in 53 districts (population: 13 million people). In 2010 she was appointed NIMR’s Director General, and was the first woman to hold this position. In June 2015, she went on sabbatical to pursue her political aspirations.

In 2017, she joined WHO’s Regional Office for Africa in April 2017 as the Director in the Office of the Regional Director (RD) responsible for providing policy, managerial and diplomatic advice to the RD, coordinating and facilitating the plan of work for all units under the RD’s Office Cluster, and monitoring the implementation of policy decisions of WHO governing bodies. She also provided support to the RD on strategic directions of WHO’s work in the region. In October 2018 the Director General of WHO, Dr Tedros Adhanom Ghebreyesus, appointed her Director of the Department of Control of Neglected Tropical Diseases, based at the Organization’s headquarters in Geneva.

Dr Mwele Ntuli Malecela Political caree
Malecela joined Tanzania’s ruling party, Chama Cha Mapinduzi (CCM), in 1981 when she was at KilaKala. At the time, party membership required an entrance course, which Dr. Malecela attended in April, after which she became full member.She ran for election in the CCM presidential primaries,[8][9] which took place in July 2015 to determine CCM’s nominee for the Presidency of Tanzania.

Pia, soma:

1) Rais Magufuli atengua uteuzi wa Mkurugenzi NIMR Dr. Mwele Malecela

2) Rais Magufuli: Aliyetangaza ugonjwa wa ZIKA nchini alikuwa anatumika na ndiyo maana nilipomfukuza, waliomtuma wakamteua kuwa Mkurugenzi

3) Dr. Mwele Malecela aula WHO

4) Dr. Mwelecele (aka Mwele) Malecela pamoja na Dr. Kigwangala wamechukua fomu ya kugombea Urais wa JMT

5)
Dr. Mwele Malecela: Asiyekuumba, kukuumbua hawezi
 
Wadau,
Nimekutana na caption huko insta ya Mange juu ya Dada yetu Dr.Mwele, hii habari si nzuri. Mwenye info zaidi tuletee.

Bwana ametoa, Bwana ametwaa!

Cc Pascal Mayalla

Mkuu Mwaikibaki , asante kuni tag, it's so sad!.

Dr. Mwele ananihusu sana, kwanza nimesoma nae Primary, yeye alitangulia darasa moja, mimi nikisoma Class moja na mdogo wake, Mwendwa (Jaji). Kisha tukakutana Tambaza yeye.

A-Level mimi O-Level, kisha mimi nikaja kuwa MC wa harusi yake!. Hivyo msiba huu umenigusa sana!.

Pole sana familia ya Mzee Malecela na mwana JF mwenzetu Mkuu william Malecela.

RIP Dr. Mwele Malecela.
P
 
Back
Top Bottom