Dkt. Mwele Malecela aula Umoja wa Mataifa. Kuongoza vituo vya magonjwa Afrika

Mkuu, taarifa za ugonjwa wa zika hutolewa na UNICEF tu na ni baada ya maabara zao kufanya utafiti. Nchi gan kati ya zenye zika tukio lilitangazwa na mtu ambaye hana hata ngazi ya uwaziri? Tukubali kosa alifanya. Labda alistahili kuonywa badala ya kutumbuliwa. Chuki dhidi ya magufuli iendelee ila ndo kashka kwenye mpini. Ujanja hatuna hadi muda utakapofika.
Kama kashika mpini mwambie akamtumbue Dr Mwele huko aliko
 
Ninachokiona Ni kwamba watu hawajujua mambo ya Dunia hii inavyokwenda.Mmekaa kushabikia na kusifu vitu msivyovijua kiundani. Swali la kujiuliza Ni kwa nini Rais alimtumbua?Kwa nini alidiriki kutangaza uwepo WA ugonjwa WA Zika nchini? Je ugonjwa huo ulikuwa nchini? Kwa nini achaguliwe na UN? Anatumikaje UN katika genocide ya watu weusi WA Africa ?
 
Punguza mihemko! Heshima zote zipi? Maelekezo atampa nani? Maji siku zote yanachemka hayasahau baridi!
tapatalk_1491185486432.png
nimefuatilia posts zako za uchangiaji kwenye huu Uzi. Nimeona kichwani u mweupe kabisa. In short ni zero brain
 
zSafi sana Wenye Elimu zao wakifanikiwa na si kunyanyaswa kama hawajapata shule Nafurahi kusikia hivyo wafanikiwe zaidi waliounga unga Elimu wabaki kutumbua na kutumbuana huku vichwa panzi wakifurahia...
 
Me Mutuz lilienda Uk. Badala ya kusoma likabaki Jim muda huu no mpambe wa Daudi na Jipu. Lina laana ya mamake. Kubwa zima linaishi kwao
 
Hamna kitu hapo! Hizo kazi zipo nje nje kila siku! Zinaogopewa kwa ajili ya locations, nchi Somalia, Congo nk.
Acha kujifajiri. Unajua fika hizo kazi ni nadra sana kupata mtu mweusi . Truth is Brazzaville ni makao makuu tu ila hiyo position inampaka mamlaka ya Africa nzima. Kwa ufupi Tanzania tutatuma taarifa zetu za hayo magonjwa kwake. She is got a huuuuge power kama huo uteuzi ni kweli.
 
Habari waungwana,

Dkt. Mwele Malecela aliyekuwa Mwanamke wa kwanza kuwa Mkurugenzi Mkuu wa NIMR na kisha 'kutumbuliwa' baada ya kutangaza uwepo wa homa ya Zika nchini, sasa anakuwa Mkurugenzi wa Vituo vya kuzuia na kudhibiti magonjwa Afrika wa Umoja wa Mataifa (WHO-AfRO)

View attachment 490245

Ameondoka jana na kituo chake cha kazi kitakuwa Brazaville nchini Congo.

Hongera Mwele Malecela kwa heshima kubwa uliyo iletea taifa lako.
 
Kwa hakika Kwa Allah hakuna uonevu Dr Mwele ni fundisho Kwa wahanga wengi wa awamu ya tano!

Mwache Mungu aitwe Mungu!
 
Ndio tuone umuhimu wa kutokuwa bashite! Na siku zote anaekufungia mlango yuko MUNGU atakaekufungulia wa kustarehe zaidi!
 
Back
Top Bottom