JET SALLI
JF-Expert Member
- Dec 1, 2014
- 1,994
- 1,198
Magufuli ni mtu asiyejua kampeni kabisa na hajui kunadi watu,Gwajima huyu ndiye aliyesimama kwenye kanisa lake na kusema Cardinal Pengo amevalishwa Pampasi Sasa Kama Pombe anasema huyu Ni mkweli kumbe hakukosea kumtukana Cardinali Pengo.Kwa kweli Ni AIBU Sana kuwa na Rais anaenadi watu wasiojielewa namna hii inasikitisha ETI NAE MAGUFULI ANAOMBA AONGEZEWA MIAKA MITANO KWA AKILI KAMA HIZI,KWELI TAIFA LINAPITA KWELI AIBU KUBWA SANA.