Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

Controversial

Member
Joined
Mar 8, 2015
Posts
42
Reaction score
6
image.jpg
IMG_3126.jpg
IMG_2898.JPG
IMG_2912.JPG
IMG_2612.JPG
IMG_2733.JPG
IMG_2819.JPG
IMG_3157.JPG
IMG_3159.JPG
 
Ujenzi wa hili daraja umeharibu sana barabara kuanzia geti namba tano mpaka round about ya kilwa road.
 
hawakawii kutuchelewesha hadi siku moja kabla ya uchaguzi ndiyo wafanye uzinduzi wa mbwembwe!!
 
Namuona Mataka anapiga mzigo kisawasawa..... Hongereni sana Wahandisi.

attachment.php
 
kona zote za nchi hii ukipita lazma ukutane na kazi ya magufuli,wakimpitisha tutaripa fadhira kwa kadi zatu za kupiga kura,
kila mtu atavuna alichopanda
 
alipewa na nani? hizo hela tafuta maekezo y CIG MPYA UTAPATA MAJIBU

Kuna watu wengine ara uwezo wa kugoogle hawawezi.Wao ni kukariri tu.

CIG aliishatoa maelezo vizuri juu ya Billion 512,na akamalizia kwa kuipongeza wizara kuwa inafanya kazi kwa kiwango cha kitukuka.
 
Ingependeza pia apigwe picha akikagua mradi wa DART.

Kwa kuwa Watanzania ni mabingwa wa kushangilia pale tu serikali inapotokea mambo kutokwenda vizuri, leo Serikali wamemulipa STRABAG deni alilokuwa anadai na kesho kazi zinaendelea kama kawaida.

Uzalendo ni kitu cha msingi sana, ionee huruma serikali yako pale inapojitahidi kukuletea maendeleo.
 
Kwa kuwa Watanzania ni mabingwa wa kushangilia pale tu serikali inapotokea mambo kutokwenda vizuri, leo Serikali wamemulipa STRABAG deni alilokuwa anadai na kesho kazi zinaendelea kama kawaida.

Uzalendo ni kitu cha msingi sana, ionee huruma serikali yako pale inapojitahidi kukuletea maendeleo.

Serikali si ya kuonewa huruma. Ni ya kuwajibishwa, isipotekeleza wajibu wake. Hakuna hisani hapo.

Ndoorobo.
 
Back
Top Bottom