Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

Dkt. Magufuli akagua daraja la Kigamboni

Unaonekana una below IQ, nchi zilizoendelea uzalendo namba moja, najua upo upande wa pili lakini appreciate pale mazuri yanafanyika.

TENA: kesho STRABAG wanaendelea na kazi kwa kuwa serikali imewalipa deni lao. Chukia tena nione.

Jifunze tena kiingereza.
 
Mkuu hii wizara ovyo tu, jaribu kukumbuka mafuriko Dar, lawama zote ni kwa wizara hiyo, angalia barabara substandard ziko ngapi, angalia watu wangapi wanaishi kwenye nyumnba zenye X kwa miaka hata 10. Sioni kama anafanya kazi kuliko wengine, ni kama wengine tu.

mkuu ni sawa unachosema lakini maamuzi mengine yanahtaji ushirkiano wa walio juu yake ila wakubwa wake ndo wabovu...wizara ya ardhi imeshindwa kuorganize makazi mjini, maamuzi magumu yanahtajika kurekebisha mambo lakni anapojaribu kufanya hvyo wakubwa wanakuwa kikwazo....!!!! mbali na changamoto zilizopo wizara yake ndo inaonekana kuwa na impact takribani nchi nzima
 
Kuna watu wengine ara uwezo wa kugoogle hawawezi.Wao ni kukariri tu.

CIG aliishatoa maelezo vizuri juu ya Billion 512,na akamalizia kwa kuipongeza wizara kuwa inafanya kazi kwa kiwango cha kitukuka.

watu wengi wanafatila mambo kwa masimu wajitume kufatilia mambo
 
Toa pongezi kwa wanachama wa nssf sio jk... Acheni unafiki!

Big up kwa wanachama wote wa nssf na Dr Dau kwa kuhakikisha hela zinawafikia wakandarasi

Inatisha NSSF ni social security benefit scheme (trustee firm yenye kuwekeza kwa maslahi ya wanachama kupata faida na si vinginevyo kwani mwisho wa siku fedha hizi za daraja hulipwa na serikali kwa NSSF. NAKUSHAURI SIFA NYINGI ANASTAHILI RAIS NA SERIKALI YAKE NA HATA HIVYO RAMADHANI DAU NI MKONO MWINGINE WA RAIS NA SERIKALI YAKE.
 
​Kumpongeza Magufuri ni matokeo ya watu kutokujua wajibu wao na kumuona kama yeye ndo matokeo ya mafanikio, wakati si kweli anachofanya ni wajibu wake na alitakiwa afanye zaidi ya hivyo
 
katika watia nia wote wa ccm hAKUNA AMBAYE AMEWATUMIKIA WATANZANIA KWA KIWANGO KIKUBWA KAMA HUYU,
 
Magufuli ndo chaguo sahihi la urais mwaka 2015.
CCM wakimptisha hawatakuwa na sababu ya kuchakachua kura, na matokeo ya urais watayatangaza ndani ya mda na watasifia kutoka kila pande kuwa uchaguzi ulikuwa fair na peaceful, hata wapinzani pia watausifia uchaguzi.

Jembe lenye mpini wa uhakika hilo.
 
Hoja yako ni nyepesi sana kujibiwa kibaya imesambaa hovyo hovyo!

Huna haja ya kujibu hoja nyepesi kwa hoja nzito. Mkuu ukiangalia uhalisia ni kuwa jamaa ni bully na arrogant, haya ndio yanafanya wizara yake ionekane inachapa kazi kuliko nyingine. Lakini let us be a bit realistic. Kuna dalili za uzuri kwenye baadhi ya maeneo na dalili za ubovu au ushahidi wa ubovu kwenye nyingine, besides the boat is the same.
 
unnamed%2B%2836%29.jpg


Kivuko cha mwendo wa kasi cha kusafirisha abiria toka Dar es Salaam kwenda Bagamoyo kilichonunuliwa hivi karibuni kiko wapi?
Hili ni skrepa si kivuko hiki
 
Mafanikiyo gani mavi ya kuku Kwa MUDA WA MIAKA 51 CCM itatawala nchi HII HAKUNA HATA MOJA walilofanya hakuna hata sekta moja iliyokuwa angalau ni afadhali wakati nchi ina utajirii mwingi mno
 
Tuache unafiki hii wizara ya jamaa ndo inayoonekana kupiga kazi kuliko zote hapa bongo
Kazi ipi anayofanya?Unaweza kuniambia kwa kifupi barabara zake mbovu zinavyochangia vifo vya waTz?Unajuachanzo cha ajali ya basi la Majinjah pale mufindi lilouwa 48 on the spot?Umekagua hizo barabara anazojisifu kaweka lami?umeona barabara kutoka pale Mlandizi kuelekea chalinzde ilinyo na mawimbi yanayosababisha ajali za mara kwa mara?Umeona ubovu ktk ujenzi na usanifu wa barabara ya Tegeta- Mwenge?Labda ungesema wizara yake ndo inayoongoza kutajwa kwenye vyombo vya habari,Any way better is not best among the best.
 
Back
Top Bottom